Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 173
- 465
Hello Guys.. naitaji Ulezi msafi usio na mchaga, ulio safishwa vizuri.
Kiwango itategemea na ubora
Aniambie bei ya Gunia moja anauzaje?
Yupo Mkoa gani?
Je anaweza Pakiza kwenye gari upokelewe Dar es salam? je akifanya hivyo itakuwa bei gani?
Uhakika wa kupata kila mara upo? naje ni kiasi gani?
Msimu gani ni mzuri kununua kwa bei nzuri zaidi.. ili tuwe partern wa muda mrefu?
Asanteni.
##Karibu Mkulima. Isiwe mchuuzi nataka mkulima mwenyewe##
Kiwango itategemea na ubora
Aniambie bei ya Gunia moja anauzaje?
Yupo Mkoa gani?
Je anaweza Pakiza kwenye gari upokelewe Dar es salam? je akifanya hivyo itakuwa bei gani?
Uhakika wa kupata kila mara upo? naje ni kiasi gani?
Msimu gani ni mzuri kununua kwa bei nzuri zaidi.. ili tuwe partern wa muda mrefu?
Asanteni.
##Karibu Mkulima. Isiwe mchuuzi nataka mkulima mwenyewe##