Dagaa wa Bukoba waliokaangwa

Dagaa wa Bukoba waliokaangwa

Arista

Senior Member
Joined
Feb 25, 2018
Posts
137
Reaction score
103
Karibuni,tunao Dagaa waliokaangwa toka Bukoba bei yetu ni nafuu tunauza kwa kipimo cha ndoo kubwa ya rangi tsh 50,000 ndoo ndogo tsh 30,000.na kwa bei ya jumla kilo tunauza tsh 7000.karibuni.Tupo mawasiliano simu 0753 145263 na 0624 011463
IMG_20211112_104812.jpg
IMG_20211115_090704.jpg
IMG_20211112_104820.jpg
IMG_20211112_121811.jpg


Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Nitakutafuta..dagaa wa bukoba uzuri wake hawanaga mchanga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Watu hampumziki..huu msimu wa kuku hao waacheni ziwani..hehehehe
 
Hawa nawapenda sana, unafanya delivery?? Kesho niletee Sinza
 
Back
Top Bottom