Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Lenovo Legion Y7000 PROCESSOR / CHIPSET CPU: Intel Core i7 (9th Gen) 9750H / 2.6 GHz Max Turbo Speed: 4.5GHz Number of Cores: 6-Core 64-bit Computing: Yes Features: integrated memory controller...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama uko maeneo ya Mwanza na una Simtank used unauza, naomba tuwasiliane inbox tufanye biashara. Asante sana.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua location nzuri naweza kupata Smart TV nzuri Inche 32.Nina 450,000 mkononi. Pia ni kampuni gani nzuri zaidi? Shukrani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari inauzwa Toyota Premio Engine kubwa Ina upungufu wa Real Lights, side mirrors, powerwindows baada ya wez kufanya yao. Gari iko Dar Es Salaam For serious buyers: Check with 0782676842.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu JF leo tuangalie umuhimu wa flush cistern tank na matumizi yake na namna ya kufunga na ubora wake Flush cistern tank ni kifaa maalum kwa ajili kuifadhi maji ya kusafisha...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mwenye huitaji Tunauza Mizinga na Makundi ya Nyuki kuanzia April 18. Tutakuwepo kwenye Viwanja vya 88 Morogoro Karibu tukuhudumie Toa order yako mapema!
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa. Natumaini muwazima wa afya na mnaendelea kutekeleza majukumu yenu. Ningependa kuwashirikisha machache kuhusu kampuni yetu Watanzania ya TTCL Kwanza nianze na huduma...
13 Reactions
83 Replies
26K Views
Hello, wakuu nafikiria kuangiza vipodozi kutoka nje ya nchi na kuviuza nchini kama retail na whole sale. Naomba mwenye kufahamu hata connection ya online ya wasambazaji wa vipodozi kutoka nje ya...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za wakati huu, Mwaka 2003 nilibahatika kuhudhuria mnada wa mtu aliyeshindwa kulipa DENI. Mnada huu ulifanyika huku familia ikiwa ndani ya nyumba kwa mkopo ambao BABA alichukua kwa ajili ya...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Nauza laptop lakin imeharibika kioo nauza vitu vya ndani HDD yake 500 GB na RAM 3 GB contacts:0759-124378 Bei laki moja na elfu thelathini
0 Reactions
2 Replies
674 Views
FORTUNATE GROUP LIMITED Ni wataalamu tuliobobea kwenye kujenga nyumba za aina zote za Kisasa na zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama Nafuu Tunatoa huduma zifuatazo; TUNAJENGA NYUMBA ZA KISASA...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
LG LED Smart Tv 42"(FULL HD) Used from uk 2 hdmi port av port 3 flash port 3D Ethernet Wireless LAN WI-DI Technology Digital Tuner DVB-T (MPEG4) SATELITE RECEIVER Ukiwa na Dish tu no decoder ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Biashara ya chips inauzwa ipo Yombo kituo chama, sehemu ya biashara ipo barabaran kabisa, kuna kila kitu kinachohitajika kwny biashara ya chips , na kod bado ipo miezi 4 ukifika ww nikuanza kazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Viwanja vya makazi ,vimepimwa vinauzwa kisongo ,matevez ,Arusha Ukubwa ni kuanzia 20m× 20m kwa mil 6.5 10m× 10m kwa mil 1.5 .huduma muhim zote zipo umeme upo kwenye mradi tayari upo kwenye viwanja...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
1.Nahitaji kujua ni wapi naweza pata duka la dawa (pharmacy) maeneo ya kariakoo lenye dawa za kila aina,,maana kuna dawa nimeandikiwa na daktari nimezunguka maeneo ya Kinondoni+Mwananyamala bila...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari yenu wana JF! Nina vitabu vipatavyo 1570 vya softcopy na cover zake so kama upo na upenzi wa kusoma inspirational books au love stories au adventures au family issue, au Detective stories...
3 Reactions
120 Replies
9K Views
naitaki destok na PC aina yoyote chapu pesa ipo mkononi. ila iwe kuanzia Core i3 adi Core i5, RAM 2-4 na storage GB 250 adi GB 500. njoo chap inbox whatsap no 0766302495 na normal call 0758978546
1 Reactions
15 Replies
818 Views
SeaPiano subwoofer Tsh.120,000/= Ina Bluetooth, FM radio, USB, SD card Ina conditions nzuri, bado mpya Ipo Kigamboni Far es salaam No. 0738 862 877
3 Reactions
3 Replies
898 Views
Mwenye uhitaji wa BETRI ZILIZOTUMIKA KWENYE MINARA ninazo. Usafiri kwa kahama, Singida,Dodoma, morogoro, Mwanza, geita bure mpaka inakufikia no utapeli ushahidi upo kwa wateja wote waliozipata...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma. Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka...
1 Reactions
7 Replies
858 Views
Back
Top Bottom