Vyumba Vitatu vya kumalizia vinauzwa

Vyumba Vitatu vya kumalizia vinauzwa

namatuhiyetu

Member
Joined
Feb 27, 2022
Posts
56
Reaction score
82
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma.
Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka Barabara kuu ya Dodoma Singida ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.
Bei ni maelewano,njoo tuzungumze tuyajenge.
Mhitaji anakaribishwa
0715666251
IMG_20220101_102225_429.jpg
IMG_20220101_102225_429.jpg
 
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma.
Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka Barabara kuu ya Dodoma Singida ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.
Bei ni maelewano,njoo tuzungumze tuyajenge.
Mhitaji anakaribishwa
0715666251View attachment 2139597View attachment 2139603
Nyumba au police post?
 
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma.
Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka Barabara kuu ya Dodoma Singida ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.
Bei ni maelewano,njoo tuzungumze tuyajenge.
Mhitaji anakaribishwa
0715666251View attachment 2139597View attachment 2139603

Mbona kwa chini hujafunga mkanda mkuu
 
Back
Top Bottom