Nyamambovu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 226
- 723
1.Nahitaji kujua ni wapi naweza pata duka la dawa (pharmacy) maeneo ya kariakoo lenye dawa za kila aina,,maana kuna dawa nimeandikiwa na daktari nimezunguka maeneo ya Kinondoni+Mwananyamala bila mafanikio.
2.Hivi hizi bima (NHIF)Kuna baadhi ya dawa tu ndo unaweza kupata au ni dawa zote??
Msaada tafadhali
2.Hivi hizi bima (NHIF)Kuna baadhi ya dawa tu ndo unaweza kupata au ni dawa zote??
Msaada tafadhali