FORTUNATE GROUP LIMITED
Ni wataalamu tuliobobea kwenye kujenga nyumba za aina zote za Kisasa na zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama Nafuu
Tunatoa huduma zifuatazo;
TUNAJENGA NYUMBA ZA KISASA...
LG LED Smart Tv 42"(FULL HD)
Used from uk
2 hdmi port
av port
3 flash port
3D
Ethernet
Wireless LAN
WI-DI Technology
Digital Tuner DVB-T (MPEG4)
SATELITE RECEIVER
Ukiwa na Dish tu no decoder ya...
Biashara ya chips inauzwa ipo Yombo kituo chama, sehemu ya biashara ipo barabaran kabisa, kuna kila kitu kinachohitajika kwny biashara ya chips , na kod bado ipo miezi 4 ukifika ww nikuanza kazi...
Viwanja vya makazi ,vimepimwa vinauzwa kisongo ,matevez ,Arusha
Ukubwa ni kuanzia 20m× 20m kwa mil 6.5
10m× 10m kwa mil 1.5 .huduma muhim zote zipo umeme upo kwenye mradi tayari upo kwenye viwanja...
1.Nahitaji kujua ni wapi naweza pata duka la dawa (pharmacy) maeneo ya kariakoo lenye dawa za kila aina,,maana kuna dawa nimeandikiwa na daktari nimezunguka maeneo ya Kinondoni+Mwananyamala bila...
Habari yenu wana JF!
Nina vitabu vipatavyo 1570 vya softcopy na cover zake so kama upo na upenzi wa kusoma inspirational books au love stories au adventures au family issue, au Detective stories...
naitaki destok na PC aina yoyote chapu pesa ipo mkononi.
ila iwe kuanzia Core i3 adi Core i5, RAM 2-4 na storage GB 250 adi GB 500.
njoo chap inbox whatsap no 0766302495 na normal call 0758978546
Mwenye uhitaji wa BETRI ZILIZOTUMIKA KWENYE MINARA ninazo.
Usafiri kwa kahama, Singida,Dodoma, morogoro, Mwanza, geita bure mpaka inakufikia no utapeli ushahidi upo kwa wateja wote waliozipata...
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma.
Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka...
Wadau Salaam,
NAUZA Boss Chest Freezer BE-200L WHT KAMA ILIOPO KWENYE PICHA HAPO CHINI. IMETUMIKA MUDA MFUPI. BEI TZS. 500,000 (Dukani kwa sasa ni 750,000).
IKO BUNJU, NIPIGIE 0754 34 36 42
Kuhusu SISI
Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na...
Habari za wakati huu,
Najua andiko langu linaweza kuwa na utata na kwa wale wanaopenda vya bure wakafikri sasa wamepata cha bure na kwa wale ambao huamini wakiitiwa fursa basi wao ni fursa...
Nafahamu zimesalia siku chache mno mwaka huu kufikia tamati, kwahiyo hakuna uwekezaji unaweza kufanyika kwajili ya mwaka huu.
Hata hivyo hakuna kitu kizuri kama kufanya maandalizi kabla ya...
Habari wadau!
Natafuta mafundi ujenzi wa nyumba n.k,kama
wewe ni fundi ujenzi naomba nitumie SMS kwenye namba hii 0687234549,halafu mimi mwenyewe nitakupigia baadae,Asante!
Kwa wanaohitaji usafiri wa kwenda kwenye usahili wa UTUMISHI (TRA) DODOMA nakurudi DAR tafadhali wasiliana nasi mapema 0719250926 fanya BOOKING mapema nafasi zimebaki chache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.