Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

SeaPiano subwoofer Tsh.120,000/= Ina Bluetooth, FM radio, USB, SD card Ina conditions nzuri, bado mpya Ipo Kigamboni Far es salaam No. 0738 862 877
3 Reactions
3 Replies
898 Views
Mwenye uhitaji wa BETRI ZILIZOTUMIKA KWENYE MINARA ninazo. Usafiri kwa kahama, Singida,Dodoma, morogoro, Mwanza, geita bure mpaka inakufikia no utapeli ushahidi upo kwa wateja wote waliozipata...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Vyumba Vitatu vilivyopo kwenye Kiwanja chenye ukubwa wa Hatua 20 kwa 16 vinauzwa Nala,Dodoma. Kila Chumba ni Self kwa maana ya kwamba kina Choo na Bafu ndani. Umbali kutoka Vyumba vilipo mpaka...
1 Reactions
7 Replies
858 Views
Ya 2005,rangi nyeusi,mileage 141,035 bei 10m
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kitanda 5&6 120k Moshi mjini 0744883353
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau Salaam, NAUZA Boss Chest Freezer BE-200L WHT KAMA ILIOPO KWENYE PICHA HAPO CHINI. IMETUMIKA MUDA MFUPI. BEI TZS. 500,000 (Dukani kwa sasa ni 750,000). IKO BUNJU, NIPIGIE 0754 34 36 42
1 Reactions
4 Replies
969 Views
Year 2005 Cc 1290 Full A.c New tyres iko dodoma 9.8M(FIXED) CONTACT-0767833496/0622111186 CAL+WHATSAP NB-NINA SHIDA YA HARAKA
1 Reactions
5 Replies
944 Views
Kuhusu SISI Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za wakati huu, Najua andiko langu linaweza kuwa na utata na kwa wale wanaopenda vya bure wakafikri sasa wamepata cha bure na kwa wale ambao huamini wakiitiwa fursa basi wao ni fursa...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Nafahamu zimesalia siku chache mno mwaka huu kufikia tamati, kwahiyo hakuna uwekezaji unaweza kufanyika kwajili ya mwaka huu. Hata hivyo hakuna kitu kizuri kama kufanya maandalizi kabla ya...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wadau! Natafuta mafundi ujenzi wa nyumba n.k,kama wewe ni fundi ujenzi naomba nitumie SMS kwenye namba hii 0687234549,halafu mimi mwenyewe nitakupigia baadae,Asante!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wanaohitaji usafiri wa kwenda kwenye usahili wa UTUMISHI (TRA) DODOMA nakurudi DAR tafadhali wasiliana nasi mapema 0719250926 fanya BOOKING mapema nafasi zimebaki chache
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Cherehani Used ipo katika Hali nzuri inauzwa laki moja na 60 (160,000/=) Inapatikana Dar es Salaam Msongola Stand nicheki 0658566851 Aina ya Butterfly. Sent from my Infinix X655C using...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je umewahi kusikia mtu anaitwa taka taka?Kama hujawahi kusikia au kukutana na mtu wa aina hiyo basi leo nataka tujadili kuhusu hii tabia ya watu kuwa taka taka.Sasa ili usitetemeke maana ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mahali:Dakawa,km 7 kutoka barabara kuu ya Morogoro Dodoma Ukubwa wa shamba ni heka 20 Shamba lipo pembezoni mwa mto Wami ambao unatiririsha maji mwaka mzima,hivyo linakupa option ya kulima mwaka...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Kazi zake; Copying (black), Printing (black), Scanning (Color, grayscale, black & white), Kwa ukubwa wa A3, A4, A5 n.k. Inafanya kazi zote tajwa hapo juu. Wino wake ni cheap na unapatikana sana...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
thawabu motorcycle spare part ni wasambazaji spare za pikipiki aina zote za kampuni ya SLL PART kwa wale wote walio karibu na maeneo ya tegeta na viunga vyake na mikoa yajilani kama vile...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hello Hello Dodoma Hii hapa nawaletea kwenu. FREMU Chumba cha biashara kizuri sanaaa. Kipo Dodoma mjin katkat Kina milango pande mbili Panafaa kwa Ofis ama aina yeyote ya Biashara Mfano. _nguo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi Ninaitaji eneo lililowazi na kubwa la kukodi Jijini DODOMA preferably maeneo ya Uzunguni (kuanzia maeneo ya NHIF mpaka Dodoma Hotel) Liwe na sifa zifuatazo:- 1. Lifikike kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za wakati huu, Miaka zaidi kadhaa iliyopita nilihitimu masomo yangu ya sekondari.Baada ya kuhitimu nilirudi nyumbani na tukakutana marafiki kadhaa ambao wote tulikuwa tumehitimu tukisubiri...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom