Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta gari aina ya Vits napatikana Dodoma bei mil 3 Nichek what'sup 0758214251.Asante Note: gari iwepo dodoma na bei nilioweka ni fixed haipandi haishuki .
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni Nikon D5300 (Used) ambayo utapewa ikiwa na lens 2 Lens ya 18-55mm pamoja na Lens ya 50mm MANUAL PRIME LENS Lakini pia utepewa na STAND nzuri BURE kabisa ambayo Dukani huuzwa kwa 150,000/=...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je, umeomba adsense umenyimwa au una blog ya Kiswahili unahitaji ads? Basi hapa umefika tunakusetia matangazo ya admob yanasoma kwenye site / blog na yanaonekana vizuri tu na unapiga mpunga kama...
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Friji ni kubwa linagandisha vizuri bei 200k Mahali goba
1 Reactions
5 Replies
670 Views
Hii hapa showcase kubwa futi 7 pia unaweza tumia kama kabati ninaiuza bei ya kutupa 280k Mahali Goba Mawasiliano 0745053417
1 Reactions
20 Replies
2K Views
𝗡𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗮𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗺𝗶𝗹𝗶𝗸𝗶 𝗘𝘅𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 𝗸𝗲𝘆𝗯𝗼𝗮𝗿𝗱 𝘀𝗮𝘀𝗮 Kuwa na keyboard ya nje Kuna wakati inakupa uzoefu Bora wa kuandika au kutumia kuliko ile iliyopo kwenye laptop yako ( built-in keyboard). Unajua...
1 Reactions
3 Replies
670 Views
Ambaye anaweza kudesign lebel tuwasiliane, ningependa kufahamu gharama pia.. Tuwasiliane Hata PM
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Napenda kuulizia Bei ya Canon ir2520 kwa mkoa wa mwanza au kahama.
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Kwa walimu anayehitaji kuja Manispaa ya Morogoro na mimi niende Dar - wilaya ya Ubungo au Kinondoni nitafute kwa namba 0765101554
2 Reactions
2 Replies
496 Views
Shamba lipo Dar Akitoka Kanda ya Ziwa itakuwa poa. Sifa: Anaejitambua. Asiwe na Mume labda Mtoto 1 Awe Hajasoma sana,Std 7 Awe tayari kupima Afya Kazi Yake; Kupikia Wafanyakazi wa Shamba Kuhudumia...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Ndugu habari.. !! Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani... Nina bidhaa za nguo za jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Haina kipengele chochote bei 120k nicheki tufanye biashara 0684737743
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Habari zenu wadau, Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja self,sebule jiko na public toilet,ipo ndani ya eneo la mita za mraba 400,maeneo ya zingiziwa,Chanika. Bei ni milioni 15
1 Reactions
0 Replies
490 Views
Starbay Electrical Works Limited Registered Electrical contractor (CRB) class 6 We deal with below -Professional electrical installation for both domestic and industrial. -Data cable...
2 Reactions
47 Replies
6K Views
Ziko vizuri, unanunua na kuanza biashara siku hiyo hiyo. Nissan 25M na rosa 14M Zipo DSM. Piga 0653 141189 au 0754 279035
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Habari wakuu, Nauza Petrol Generator ndogo 1kw, aina ya Boss. Generator limetumika miezi minne tu, nauza sababu load imeongezeka so nahitaji Generator yenye uwezo mkubwa zaidi. Bei Tzs 200,000/=...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wanna jf... Kuna mtu anahitaji chumba cha kupanga mwanza mjini kama unacho au unafaham kinapopatikana naomba unijuze ila usiwe dalali chumba kinachohitajika ni cha 30,000 kiwe katika hali...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Njia mojawapo ya kuongeza thamani ya nyumba yako ya uwekezaji ni kuifanyia ukarabati. Ongezeko la thamani ya nyumba kutokana na ukarabati wa nyumba hutegemea sana maarifa sahihi aliyonayo...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public. Ipo kwenye fensi mazingira mazuri. Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere. Simu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi pikipiki used ya bei rahisi kbsa naweza pata kwa shingapi [emoji848]
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom