Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

GARI YA KUBEBA CONTAINER 20FT INAHITAJIKA MUSOMA Pana container linahitajika kusafirishwa ndani ya 50 km toka musoma mjini Kwa yeyote wa kupata gari hilo tuwasiliane hapa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanda kipya cha kusaga na kukoboa nafaka kilichopo Mbezi Luis DSM kinakodishwa. Kiwanda hiki kina machine za kusaga, kukoboa, na kupeta mahindi. Pia kina machine ya kushona mifuko/viroba. Kina...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello jf,nauza huawei P20 lite Storage 128GB RAM 4GB NETWORK 4G/H+ Colour right gold IMEI 05 CPU 659 Screen size 2280x1080 EMUI 8 Price:350,000/-..but it is negotiatable Contacts:0759-124378
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kulipa kodi ni sehemu ya uzalendo na ni wajibu wa kila mwananchi. Kodi unayolipa ndio ambayo hupatia watu huduma na mahitaji mengine ya jamii na miundo mbinu.Usipolipa kodi unakua unajiibia wewe...
4 Reactions
14 Replies
45K Views
Wana JF ninataka kujau zaidi kuhusu hii biashara kwa wanaofanya hii biashara Vipi inahitaji kama mtaji wa sh ngapi kuanzia? Maeneo mazuri kwa Dar es salaam ni wapi? Changamoto zake kubwa ni zipi...
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Nauza Laptop za Mtumba Bei Nzuri Bei zinaanzia 375,000/= Tunapatkana Kahama na Mwanza Wateja wa Mikoa ya Jiran tunakutumia kwa uaminifu mkubwa. Nichek wasap kwa picha zaidi 0627953664
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, low bed tri-axels trailer inauzwa ikiwa na hali ya upya kwani haijatumika sana. Make: CIMC Type: Low bed trailer Location: Dar es salaam Bei: 80M NB: Hii ni tairi ndogo. Ukitaka...
1 Reactions
1 Replies
773 Views
Habari ni ile kampuni yako pendwa kwa jina la Gasto Agent Cargo, tunasafirisha Mizigo mbali mbali kwenda maeneo tajwa hapo juu kwa gharama nafuu. Mzigo wowote, mkubwa kwa mdogo,kuanzia mmoja na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari ,nina mzigo wa nguo za watoto(kiume na kike) mtumba kuanzia miaka 0 - 12 , nauza kwa bei ya jumla (400 per pc). Wazoefu wanaita mzigo wa kushusha. Bado haujapoa kwa wauzaji wa minadani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Maeneo yanauzwa maji ya chai Bei ni milioni 5 kwa 20×20 milioni 7 kwa 30×20 milioni 4 kwa 10×20 umeme na maji vipo manthari Ni nzuri na kuvutia majirani wameshahamia barabara zinapitika wakati...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
TAARIFA MPYA DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021, MWISHO NI TAREHE 9/11/2021. JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA. HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI. KWA MASWALI AU...
11 Reactions
195 Replies
13K Views
Nahitaji tv nchi 32 na ps 3 kama unayo nipe ofa yako
0 Reactions
1 Replies
501 Views
IPad one For sales, Location Dsm, Price offordable Tsh150000
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu Mpya Kabsa Boxed Storage 64GB Unapata na Warranty ya Mwaka [emoji338] 0768689694
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna hivi vifaa: Naomba kujuzwa ni amplifier za nini, japo nimekuwa nikihisi ni za mitambo ya broadcasting japo sina hakika. Lakini pia kwa mwenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Salamu Wakuu naomba kuwauzia Pagale MBILI kwenye Kiwanja kimoja. Details -Kiwanja kina Ukubwa wa Sqm 1543. -Kiwanja Kimepimwa na kina Ofa(Hatua moja kabla hujapata Hati). -Mapagale yapo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huawei P30 Lite Used Clean Storage 128GB Ram 4GB Price : 360,000 8 months warranty Call : 0676175260 Kariakoo Uhuru & Msimbazi
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SIM NI MPYA KABISA.... internal memory ni 32 gb Ram ni 4 gb Camera ni 16 mp Display ukubwa ni 5.70" Battery-3220mAh S-pen Sim Ina support 4G... Processor 2.7 GHz Android 4.4,kit Kat bei ya kuuza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
KIGAMBONI CITY GROUP SHAMBA KUBWA LA KUJENGA GHALA LA MAFUTA (DEPOT) LINAUZWA VIJIBWENI- KIGAMBONI BEI: US DOLA MILIONI 2 Mazungumzo yapo UKUBWA WA SHAMBA NI EKARI 6 na robo. SHAMBA ZURI SANA...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Back
Top Bottom