Car4Sale Tuulize Namna ya Kuagiza Gari Bora Kwa Bei Nafuu Kutoka Japan, U.k, Dubai, Singapore

Ninapokuja kwenu mnasimamia procesa zote mpk gari kulitoa bandarini na kunikabidhi au mnasaidia kuagiza tu ??

Swali la pili je mnagari Za dollar kuanzia 2100 jumla na shiping kama mnazo tunaomba mzilist hapa
 
View attachment 1789638
KARIBU AUTOMASI UAGIZE GARI
LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU


2006 TOYOTA BELTA
Automatic | Fuel : Petrol 1290
Drive 2WD | Seats 5 | 63000km


Accessories | Anti-lock Brake System
IN-DASH CD RADIO


GHARAMA ZA GARI TZs 13.2mil.
Malipo Ya Kwanza :TZs 7mil
Malipo Ya Pili :TZs 6.2mil



: 0767 328 063 | 0738 929 380
: Jaa WhatsAppissa

OFFICE ZETU ZIPO GHOROFA YA 5
JENGO LA SALAMANDER ( GSM )
SAMORA AVENUE & MKWEPU

AGIZA NASI LEO UPATE
Punguzo kabambe
Fire extinguisher bure
Bima ya mwaka mzima
NB: Vigezo Vitazingatiwa.

View attachment 1789640

View attachment 1789641

View attachment 1789642

View attachment 1789643

View attachment 1789644

View attachment 1789645

View attachment 1789646

Mkuu nimekuuliza kuhusu ist old ya 2004-2006 mpk dar port shillings ngap?
 
IST 2002 price 12.6m
IST 2003/4 PRICE 13M
IST 2005/6 PRICE 14M

HIZI BEI NI MPAKA USAJILI (INAKUWA MKONONI KWAKO READY TO HIT THE ROAD)
Mkuu naomba utusaidie hapa, mbona watu wanasema gari kutoka Singapore zina shida sana ni mbovu wewe Kama muagizaji hii hoja ikoje?
 
Screenshot_20210529-091339.png

Nipe bei
 
Lakini pia niliuliza kwani Nini gari kutoka Singapore zinasemwa sio nzuri je kwa uzoefu wako wewe unasemaje juu ya hili?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom