NANGAI MSUMI
Senior Member
- Apr 12, 2015
- 146
- 94
Nyumba ipo kigamboni vijibwen karibu na ukingo wa Bahari, Ina vyumba 3 vya kulala kimoja master, jiko, store, dining room, sebule kubwa, shimo la choo tayar lishajengwa, maongez yapo. 0652180400
Ukubwa wa Kiwanja ni Square mita 400. Yaan 20×20Ukubwa wa kiwanja ni kiasi gani mkuu.
Vijibweni ni kilomita ngapi kutoka Ferry?
Eneo ni squator, Lina docoment za serikali ya mtaa tu, Ukubwa ni 20×20 ni kama square mita 400.eneo limepimwa?
ukubwa wa eneo?
kuna fikika vyema toka barabara kuu?
km ngapi toka barabara kuu?
eneo lina hati?
Umeme na maji vipi ?
Umeme,maji vyote vpo karibu, isiyoshe nyumba ipo pembezoni mwa Bahari, Kwa hyo utakuwa unakala upepo tu. Karibu SanaUmeme na maji vipi ?
Neighborhood imekaaje?