Habari natafuta kiwanja eneo la chamazi. Kuanzia magengeni mpaka maeneo ya azam.
Bajeti yangu ni milioni 4 kushuka chini.
Kama unacho toa sifa zake kama size kikoje na kiko chamazi ya wapi ili...
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum
Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo...
Kama mnavoona hawa ni jamii ya sungura wa nyama wenye uwezo wa kukua kuwa kima kikubwa sana!
Kifupi ndo sungura wakubwa kuliko aina zote za sungura
Kwa hapa tanzania wanapatikana wap
Natafuta kuku aina ya Kuchi kwa Mwanza au mikoa ya karibu kama Simiyu au Geita na Shinyanga
Mikoa maarufu ; Niliwaona mara ya mwisho Tabora. Lakini tafiti zinaonesha hii mikoa wanapatkana...
Cage za kuku wa mayai.
Layers Cage.
¹kutokana na mfumo wa cage zetu ulivyo boreshwa kuku watakuwa salama saana na kuepuka magonjwa kwa asilimia zaidi ya 85%.
²Usalama wa mayai ni 100% mfumo...
UZI HUU NI MAALUM KWA AJIRI YA KUSOMA NA KUPATA RIWAYA ZA JOHN WISSE.
UKIHITAJI KITABU CHOCHOTE UTAKIPATA KWA KUULIZA HAPA NAWE UTAJIBIWA HARAKA NA KUPATA KILE UNAKIHITAJI.
Samahani sijasalimia wanajukwaa
Nina shida sana na noti ya Mia tano ndani ya siku hizi tatu Jamani please mwenye nayo Naombeni tusaidiane Nampa laki moja keshi. Noti yoyote ya Mia tano...
THabari za muda huu...
Naitwa flame, Nimekuletea tangazo hili la kukuomba wewe kama mpenzi wa home decorations, I mean unahitaji bidhaa za mapambo ya nyumba yako kama vile mashuka n.k
Nakualika...
Mfumo wa Matokeo, report +Sms.
Kwa
1• Primary school
Swahili version
English version (for english medium school)
2• O level kidato cha 1 - 4
3• Advanced level Kidato cha 5 - 6
Ni mfumo...
Huwa ninaamini kwamba Humu JF wamo Mabilione hata hivyo napenda zaidi kuzungumzia uhalisia;
Ukiwa katika Jiji la Dar es salaam ukabahatika kutembea katika maeneo ya watu matajiri kama...
Habari zenu ndugu zangu wa jf.. leo tuangalie matumizi ya kifaa cha kujisafishia bidet.
Bidet nini? Hiki ni kifaa ambacho muonekano wake una fanana na choo cha kukaa (European type) matumizi...
Habari za mida hii wakubwa?
Naomba kuleta ombi hili kwenu mwenye uwezo asaidie.
Kuna mama mmoja (kamshirikisha mume wake) hapa anahitaji fedha kiasi cha Tsh milioni 5 (mkopo), anaweka dhamana...
Nauza nyumba ya vyumba 3, sebule , dinner room, jiko , vyoo 2- masterbedroom.
Eneo linalo zunguka nyumba hii lina ukubwa wa 28m × 14m , bei ni Tzs 7.5 milion.
Hii nyumba ipo VIWEGE KWA MPEMBA ...