Salute bosses
Awali ya yote ningeomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa team nzima ya Jamii Forums. Bila hii platform kiuhalisia wengi wetu wangekua bado wapo gizani, nisingekua inspired kushare...
Nyumba za kuhamishika zimekuwa zikitumika kwa ajili ya makazi na biashara. Lakini kwa mazingira ya kwetu Tanzania nitakushirikisha zaidi kuhusu fremu za biashara.
Hii ni kwa sababu karibu nyumba...
Wengi huamini kuwa kutawanya uwekezaji uhusisha kuwekeza mitaji fedha kwenye aina tofauti tofauti za bidhaa au huduma. Lakini hii sio kweli. Ni rahisi kutawanya uwekezaji kwenye hisa kwa sababu...
Jipatie Feni nzuri kwa bei ya kutupa
Feni ni Used imported from China
Bei ya kila Feni ni 100,000(laki moja)
Wahi sasa
Tunapatikana Tabata Dar es salaam
Contacts:Call/Whatsapp +255764108259
MOSHI!! MOSHI!!! MOSHI!!
Shamba Heka 6 kwaajili ya kilimo na makaziLinauzwaa Moshi,
Location; Newland, nyuma ya mashamba ya TPC
Shamba ni heka 6 liko sehemu moja, kuna nyumba ya room 3 za...
Natuain nyoye jamii ya forum mnaendela vyema...Mimi mdogo wenu kesho nakuja mbeya bonde la kilyamatundu natokea Shinyanga. Ila sina ndugu wala mwenyeji wa kufikia hivyo naomba yeyote atakayeguswa...
Wazee nauza kiatu,kimeletwa kama zawadi toka uturuki lakini hakinitoshi.
Saizi ya kiatu ni UK 8, Uero 42kama kinavyoonekana pichani.
Bei ni pesa taslimu za kitanzani 70 elfu.
kipo kigamboni
0659445718
[emoji842]Pendezesha gari lako kwa logo projector.
[emoji842]Zinawekwa chini ya mlango na kutoa mwanga wa logo ya gari mfano toyota, benz nk.
[emoji842]Zinatumia battery za kawaida hizi za...
WADAU NAUZA JIKO KUBWA LA GESI (LA BIASHARA) PAMOJA NA MTUNGI WAKE WA GASI MKUBWA WA KG 30 KWA TZS 150,000 TU. VIKO BUNJU DAR ES SALAAM PIGA 0767 72 73 88.
Habari zenu wakuu!
Tunakodisha Tv na vifaa vya video production kwa ajili ya sherehe mbali mbali kama harusi,send off na nyinginezo.Tupo Ubungo Dar es Salaam.
Nyote mnakaribishwa
Kwa...
[emoji239]DUMILA_CHIKEN_FARMING_GROUP[emoji239]
____________________________________________
[emoji340][emoji3513] 0744181425
WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA BORA KUKU WA NYAMA...
Habari wakuu
Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086
Models
PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
Ni chumba cha malazi kinapangishwa Kinondoni studio karibu na Stereo Bar. Kodi kwa mwezi ni TSH 70,000/-. Maji na umeme upo.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Prosper kwa simu au WhatsApp number...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.