Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salute bosses Awali ya yote ningeomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa team nzima ya Jamii Forums. Bila hii platform kiuhalisia wengi wetu wangekua bado wapo gizani, nisingekua inspired kushare...
102 Reactions
1K Replies
177K Views
Nyumba za kuhamishika zimekuwa zikitumika kwa ajili ya makazi na biashara. Lakini kwa mazingira ya kwetu Tanzania nitakushirikisha zaidi kuhusu fremu za biashara. Hii ni kwa sababu karibu nyumba...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wengi huamini kuwa kutawanya uwekezaji uhusisha kuwekeza mitaji fedha kwenye aina tofauti tofauti za bidhaa au huduma. Lakini hii sio kweli. Ni rahisi kutawanya uwekezaji kwenye hisa kwa sababu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mteja serious Kabati Zima kabisaaa Linafaa kwa maduka ya Simu Duka la dawa Duka la vipodozi Lina futi3 kwa 3 narobo Lipo vingunguti 0764708888
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Jipatie Feni nzuri kwa bei ya kutupa Feni ni Used imported from China Bei ya kila Feni ni 100,000(laki moja) Wahi sasa Tunapatikana Tabata Dar es salaam Contacts:Call/Whatsapp +255764108259
0 Reactions
16 Replies
1K Views
MOSHI!! MOSHI!!! MOSHI!! Shamba Heka 6 kwaajili ya kilimo na makaziLinauzwaa Moshi, Location; Newland, nyuma ya mashamba ya TPC Shamba ni heka 6 liko sehemu moja, kuna nyumba ya room 3 za...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Natuain nyoye jamii ya forum mnaendela vyema...Mimi mdogo wenu kesho nakuja mbeya bonde la kilyamatundu natokea Shinyanga. Ila sina ndugu wala mwenyeji wa kufikia hivyo naomba yeyote atakayeguswa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wazee nauza kiatu,kimeletwa kama zawadi toka uturuki lakini hakinitoshi. Saizi ya kiatu ni UK 8, Uero 42kama kinavyoonekana pichani. Bei ni pesa taslimu za kitanzani 70 elfu. kipo kigamboni 0659445718
2 Reactions
75 Replies
5K Views
[emoji842]Pendezesha gari lako kwa logo projector. [emoji842]Zinawekwa chini ya mlango na kutoa mwanga wa logo ya gari mfano toyota, benz nk. [emoji842]Zinatumia battery za kawaida hizi za...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
Habari wadau, Naleta kwenu biashara hii, nauza vanilla nzuri sana kutoka Zanzibar Bei 750,000 kwa kilo Njoo PM kwa serious buyer
2 Reactions
6 Replies
2K Views
WADAU NAUZA JIKO KUBWA LA GESI (LA BIASHARA) PAMOJA NA MTUNGI WAKE WA GASI MKUBWA WA KG 30 KWA TZS 150,000 TU. VIKO BUNJU DAR ES SALAAM PIGA 0767 72 73 88.
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu. Natafuta muuzaji wa zao la mwani kwa Arusha ambaye ana kibali cha kusafirisha nje ya nchi. Mawasiliano 0776655978
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu! Tunakodisha Tv na vifaa vya video production kwa ajili ya sherehe mbali mbali kama harusi,send off na nyinginezo.Tupo Ubungo Dar es Salaam. Nyote mnakaribishwa Kwa...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Ipo katika hali nzuri,mmiliki alikua akitumia kutembezea mikate ,kwa sasa ipo Mbeya .Kwa maelezo zaidi wasiliana na no.0768496151 karibuni
0 Reactions
2 Replies
929 Views
Haina shida yoyote kabisa. cc 150 gia 5. Mtaa wa Kilimo A, Igoma. Milioni 1, price fixed 0713096076
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Bei ni 130m Model: Land cruiser Prado Make: TRJ 150 Year: 2010 upgrded 2020 Engine: 2TR vvti cc 2,690 Fuel: Petrol Klmt: 49,678 Seat capacity: 7seat Keyless push start engine Reg: no Registration...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa, habari zenu? Natafuta baiskeli nzuri kwa ajili. ya matumizi yangu ya kawaida. Je, nani anauza na kwa bei gani? Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[emoji239]DUMILA_CHIKEN_FARMING_GROUP[emoji239] ____________________________________________ [emoji340][emoji3513] 0744181425 WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA BORA KUKU WA NYAMA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086 Models PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni chumba cha malazi kinapangishwa Kinondoni studio karibu na Stereo Bar. Kodi kwa mwezi ni TSH 70,000/-. Maji na umeme upo. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Prosper kwa simu au WhatsApp number...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom