Nauza nyumba yangu iliyopo mkoani Morogoro. Mimi ndio mmiliki wa hiyo nyumba.
Ukubwa wa kiwanja ni 1500qm.
Nyumba ni ya ghorofa.
Vyumba vitano (vinne ni master bedroom)
Dinning na kitchen ni open...
Habari ndugu..!!
Karibu Katika kampuni pendwa ambayo imekuwa ikitoa huduma ya internet majumbani pamoja na offisini kwa bei Nafuu kabisa.
Ateb technology tunatoa internet yenye spend na kasi ya...
Nime upgrade mashine yangu katika upande wa processorr so mwenye uhitaji wa ku upgrade yake nauza hii i5-3570 bei ndogo tu 60000.
Kama unatumia moja ya processor kati ya hizo pichani basi ndo...
Habari za wakati huu wakurugenzi?
Wanahitajika Wauzaji wa Jumla wa bidhaa zifuatazo ambao wanauwezo wa kussuply mzigo wa thamni yoyote kwa bei ya Jumla.Iwapo unao uwezo wa kussuply kiasi hicho...
Habari za wakati huu;
Website Inauzwa.Ni website ya biashara ya affiliate/reseller Program.Ukinunua website utapata faida zifuatazo;
Utapata Domain name
Utaweza kuingiza kipato kwa kuuza bidhaa...
Samsung Galaxy A32 5G
Barely Used straight from South Korea
64GB
48 MP Primary Camera with 2160p Display
Single Simcard
6.5 Inch Display
4GB RAM
Long lasting battery- 5000Mah Battery
Price...
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public.ipo kwenye fensi mazingira mazur.
Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere. 0652180400
Habar za Kutwa wadau ...ashlic moving clinic ni kituo kinachotoa huduma ya aina zote za massage kwa ustadi mkubwa na weledi ......aina zinazotolewa n Swedish massage ...thai massage ....body to...
Bajaj ya mizigo inauzwa. Milioni 3 tu
kampuni wanhoo
Nzima na iko kijiweni mpaka sasa inapiga kazi
Eneo: Mwanza Ndama/igoma
Piga simu; 0713096076
Nje ya mada:
Chukua tahadhari, usitumie hasira...
Kheri ya mwaka mpya kwa wafugaji wote.
Kumekuwa na changamoto nyingi wanazopitia wafugaji hususani kipindi cha kuanza ufugaji wao wa mara ya Kwanza. Changamoto hizi huchangiwa na kutokuwa na...
OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA
FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei...
Hi wakuu, nimejiajiri nauza various products.
Nilinunua duka ambalo aliyekuwepo alikuwa anauza na vipodozi, kwakua sio mwenyeji Sana Arusha mjini,natafuta mtu wa kuwa mteja wangu ambaye ntakuwa...
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,
Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Pia tunatoa huduma ya kujenga na...
Salon kali ya kiume inauzwa kwa bei ambayo ni sawa na bure. Salon ipo Mbeya mjini (Igawilo soko kuu) barabarani kabisa.
Salon inakila kitu ndani kama vile FLAT TV MPYA, HAIR CUT MACHINE, SALON...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.