Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia! Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo...
9 Reactions
128 Replies
28K Views
Natafuta Kiwanja kibaha ,maana nimeona utakuwa mji mzuri sana Wa kiviwanda na biashara ,niunganisheni wadau ni furusa zipi zinapatjkana kibaha CBD?
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Kama mnavoona hawa ni jamii ya sungura wa nyama wenye uwezo wa kukua kuwa kima kikubwa sana! Kifupi ndo sungura wakubwa kuliko aina zote za sungura Kwa hapa tanzania wanapatikana wap
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta kuku aina ya Kuchi kwa Mwanza au mikoa ya karibu kama Simiyu au Geita na Shinyanga Mikoa maarufu ; Niliwaona mara ya mwisho Tabora. Lakini tafiti zinaonesha hii mikoa wanapatkana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sony xperia xz1 inauzwa. RAM 4GB na storage 64GB 200000TZS 0758700852
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Jambo wakuu.. Nauza pedi za kufua kwa wafanyabiashara wanaotaka mzigo wa jumla. Bei ni 6500 kwa packet na ninatuma kwenye mkoa wowote Tanzania.
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Cage za kuku wa mayai. Layers Cage. ¹kutokana na mfumo wa cage zetu ulivyo boreshwa kuku watakuwa salama saana na kuepuka magonjwa kwa asilimia zaidi ya 85%. ²Usalama wa mayai ni 100% mfumo...
3 Reactions
10 Replies
9K Views
Naomba kupata kifaa hiki kinachochemsha maji ya kuoga bafuni. Nahitaji bei yake na ubora wake [specification].
1 Reactions
19 Replies
4K Views
UZI HUU NI MAALUM KWA AJIRI YA KUSOMA NA KUPATA RIWAYA ZA JOHN WISSE. UKIHITAJI KITABU CHOCHOTE UTAKIPATA KWA KUULIZA HAPA NAWE UTAJIBIWA HARAKA NA KUPATA KILE UNAKIHITAJI.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Samahani sijasalimia wanajukwaa Nina shida sana na noti ya Mia tano ndani ya siku hizi tatu Jamani please mwenye nayo Naombeni tusaidiane Nampa laki moja keshi. Noti yoyote ya Mia tano...
3 Reactions
90 Replies
8K Views
THabari za muda huu... Naitwa flame, Nimekuletea tangazo hili la kukuomba wewe kama mpenzi wa home decorations, I mean unahitaji bidhaa za mapambo ya nyumba yako kama vile mashuka n.k Nakualika...
0 Reactions
7 Replies
639 Views
Mfumo wa Matokeo, report +Sms. Kwa 1• Primary school Swahili version English version (for english medium school) 2• O level kidato cha 1 - 4 3• Advanced level Kidato cha 5 - 6 Ni mfumo...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Huwa ninaamini kwamba Humu JF wamo Mabilione hata hivyo napenda zaidi kuzungumzia uhalisia; Ukiwa katika Jiji la Dar es salaam ukabahatika kutembea katika maeneo ya watu matajiri kama...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu zangu wa jf.. leo tuangalie matumizi ya kifaa cha kujisafishia bidet. Bidet nini? Hiki ni kifaa ambacho muonekano wake una fanana na choo cha kukaa (European type) matumizi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za mida hii wakubwa? Naomba kuleta ombi hili kwenu mwenye uwezo asaidie. Kuna mama mmoja (kamshirikisha mume wake) hapa anahitaji fedha kiasi cha Tsh milioni 5 (mkopo), anaweka dhamana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nauza nyumba ya vyumba 3, sebule , dinner room, jiko , vyoo 2- masterbedroom. Eneo linalo zunguka nyumba hii lina ukubwa wa 28m × 14m , bei ni Tzs 7.5 milion. Hii nyumba ipo VIWEGE KWA MPEMBA ...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ukiwa wewe ni mtanzania ambae unatamani kuanza ufugaji wa nyuki lakni hujui pakuanzia, huna mtaji wa kutosha ,huna eneo rafiki kwa ajili ya ufugaji n.k , sisi kama watekelezaji wa mradi wa FUNYUKI...
3 Reactions
56 Replies
4K Views
Natafuta mpiga video kwenye harusi,mwenye vifaa vya kisasa na ujuzi mkubwa aliyeko dar,nina harusi
2 Reactions
4 Replies
790 Views
natafuta simu nipo Mbeya, bajeti yangu laki mbili. karibu itapendeza zaidi kama muuzaji atakuwa mkoani Mbeya
2 Reactions
8 Replies
726 Views
Imarisha afya yako kwa kupunguza kitambi,kutengeneza six pack nk. Machine hii inakuwezesha kufanya mazoezi zaidi ya 7 Na kusiadia kujenga afya yako FEATURES COLOUR:Black,orange white, pink...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom