Manwambele
Senior Member
- Jan 4, 2016
- 109
- 164
Make; Mazda Verisa
Year ; 2010
Engine : 1498
Gear ; Automatic
Wheel drive; 2 Wheel drive
Colour ; White
Odo ; Low milleage
Exchange deal allowed.
Imported from japan straight.
Changamoto, Tairi ya upande mmoja nyuma rimsport yake imezingua melini so ya kureplace nazo pia zipo.
Na service ya kawaida ambayo nayo siwezi isema ni changamoto sababu gari lazima uifanyie service coz sio mpya hizi ni mtumba toka nje.
Bei ni ndogo na rafiki mno nauza 11.5 pamoja na registration,
neg .
Karibu kwa kuona au kukagua ni bure ukinifata nikukufata utachangia mafuta njoo na wataalamu wako nikupe gari mwana j.f mwenzangu hutajuta nauza huku roho yaniuma kali ni nzurii mnooo mwaka wa juu.
Kwa wale wenye maneno maneno nimewawekea na risiti kabisa bei ya japan hyo gari na c& f pamoja na ushuru ya mwaka husika kwenye website ya beforward , Na ushuru wake hapa kwa Tra . Hapo sijaweka agent fee na gharama za meli na nyinginezo so ingeweza fika mpaka 13 au 14 ila mm nakuuzia kwa 11.5 na nakusajilia kabisa.
Maelezo yasiwe njoo kwenye gari ukague na watAlaamu wako, gari ipo Dar es salaam, Airport .
Picha zaidi whatsap 0677 210276 au 0763 950219
KARIBUNI SANA.
Year ; 2010
Engine : 1498
Gear ; Automatic
Wheel drive; 2 Wheel drive
Colour ; White
Odo ; Low milleage
Exchange deal allowed.
Imported from japan straight.
Changamoto, Tairi ya upande mmoja nyuma rimsport yake imezingua melini so ya kureplace nazo pia zipo.
Na service ya kawaida ambayo nayo siwezi isema ni changamoto sababu gari lazima uifanyie service coz sio mpya hizi ni mtumba toka nje.
Bei ni ndogo na rafiki mno nauza 11.5 pamoja na registration,
neg .
Karibu kwa kuona au kukagua ni bure ukinifata nikukufata utachangia mafuta njoo na wataalamu wako nikupe gari mwana j.f mwenzangu hutajuta nauza huku roho yaniuma kali ni nzurii mnooo mwaka wa juu.
Kwa wale wenye maneno maneno nimewawekea na risiti kabisa bei ya japan hyo gari na c& f pamoja na ushuru ya mwaka husika kwenye website ya beforward , Na ushuru wake hapa kwa Tra . Hapo sijaweka agent fee na gharama za meli na nyinginezo so ingeweza fika mpaka 13 au 14 ila mm nakuuzia kwa 11.5 na nakusajilia kabisa.
Maelezo yasiwe njoo kwenye gari ukague na watAlaamu wako, gari ipo Dar es salaam, Airport .
Picha zaidi whatsap 0677 210276 au 0763 950219
KARIBUNI SANA.