TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
Habari wakuu,
Naomba mwenye kuuza bidhaa tajwa hapo juu aniambie anauza bei gani kwa kilo na yapo mahali gani. Lengo ni kufanya tathmini kisha kuanza biashara hii rasmi hivyo nikiwa na mtu mwenye supply ya muda mrefu itakuwa bora sana.
Nasubiri michango yenu wadau wa biashara hii.
Naomba mwenye kuuza bidhaa tajwa hapo juu aniambie anauza bei gani kwa kilo na yapo mahali gani. Lengo ni kufanya tathmini kisha kuanza biashara hii rasmi hivyo nikiwa na mtu mwenye supply ya muda mrefu itakuwa bora sana.
Nasubiri michango yenu wadau wa biashara hii.