Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Wandugu ninatafuta kinanda kwa ajili ya matumizi ya kanisani,nina shilingi laki mbili.
Wandugu ninatafuta kinanda kwa ajili ya matumizi ya kanisani,nina shilingi laki mbili.
mkuu kanisa ni idara kubwa sana nunueni kipya na kizuri msije uziwa cha wizi kikaleta doa kwa kanisa na huduma nzima.Wandugu ninatafuta kinanda kwa ajili ya matumizi ya kanisani,nina shilingi laki mbili.
mkuu kanisa ni idara kubwa sana nunueni kipya na kizuri msije uziwa cha wizi kikaleta doa kwa kanisa na huduma nzima.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Bei ya mpya ni kiasi gani?
Bei za vinanda zinatofautiana kulingana na uwezo wake vipo vya mpaka milioni tanoBei ya mpya ni kiasi gani?
Tembelea website ya beforward kuna mahala pameandikwa electronics ,click pale kuna camera, computers, mobile phones, photocopy machines, and music keyboards. So chagua. Wana Tanzania office so unaweza kwenda kulipia ofisini kwao then unasubili wakuletee.Wandugu ninatafuta kinanda kwa ajili ya matumizi ya kanisani,nina shilingi laki mbili.
Vinanda vyenye ubora bei haipungui milioni. Vingine ni ghali kuzidi gariBei ya mpya ni kiasi gani?
niaje, kinanda ulipata? Kuna kinanda nauzaWandugu ninatafuta kinanda kwa ajili ya matumizi ya kanisani,nina shilingi laki mbili.
Kikojeniaje, kinanda ulipata? Kuna kinanda nauza