Mkuu, ft14/13 inatosha hata kujenga fremu ya duka?Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
Duh! Yaani mita 4×3 yaani 12 square meters unauza 2M halafu Mbagala, au kipo pembeni ya kilwa road?Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
AhahahahahDuh! Yaani mita 4×3 yaani 12 square meters unauza 2M halafu Mbagala, au kipo pembeni ya kilwa road?
Ni ft 14/13 mkuu. ikiwa unahitaji, wasiliana na mwenye nacho namba nimeweka hapo. Hayo ndo yalikuwa maelezo yake.Duh! Yaani mita 4×3 yaani 12 square meters unauza 2M halafu Mbagala, au kipo pembeni ya kilwa road?
Yuko sahihi mkuuNi ft 14/13 mkuu. ikiwa unahitaji, wasiliana na mwenye nacho namba nimeweka hapo. Hayo ndo yalikuwa maelezo yake.
Pole,,,Muuzie jiran mnayepakana
Alikosea tu vipimo mkuu lakini amempata mteja tayari.Yuko sahihi mkuu
(14ft × 13ft)= (4.2m × 3.9m)=16.39sq
Hiko kiwanja mbona kidogo sana ....
Hebu muulize vizur huyo mmiliki hz details alizokupa km ziko sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app