Full set backery machine vifaa vyote vinafanya kazi. vimetumika mwaka mmoja tu! Yaan vingine ni vipya kabisaaa! Ukinunua kazi yako ni kununua unga nakuanza bakery yako!! (hatuuzi kimoja kimoja).
1...
Habari ya muda huu wakuu. Nauza majiko ya MKAA, flampeni, jalo, naziba masufuria na kutengeneza, pia makalai ya chipsi ndugu.
Jumla Kwa wafanyabiasahar na rejareja pia. Naweza pia kufanya deliver...
[emoji95]IFANYE NDOTO IWE KWELI
JE WAJUA? Mil 2 ina nguvu?...unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa futi 50*40 viwanja vipo tambarare kabisa na vina barabara za mitaa.
[emoji3534]Tupo Vikindu na...
Habari wadau wa Maendeleo. Nauza Viwanja. Vipo Bagamoyo njia ya kwenda Msata, eneo la FUKAYOSE. Bei ni Tshs 5,500 kwa square meter moja.
Viwanja vimepimwa tayari na vipo kilometers 1.5 kutoka...
Nauza kiwanja changu ni viwanja 2 vya 50*40 vimeungana sawa na 100*40 kipo mipeko mbele ya kiwanja Kuna nguzo ya umeme na mpira wa kuunganisha maji
Bei 6000000 wasiliana nami kwa 0653057919
Apostle Buldoza Mwamposa atakuwepo Jijini Mbeya, kuanzia tarehe 29/9/2022 na kuendelea kwà muda wa siku 6.
Watu wa dini zote mnakaribishwa.
Usipange Kukosa!!!!
Sent from my Redmi 8A using...
Habari za wakati huu wamachama wote wa JF ,Nina uza hiki kufaa chenye usb ports 4 pamoja na waya mfupi wa type C, kifaa hiki kitakuwezesha kuchaji simu tano kwa wakati mmja endapo uta connect usb...
Wito umetolewa kwa NGO, Vikundi vya mikopo au Vikundi vichanga vya maendeleo ambavyo ndio vimeanzishwa na vile ambavyo vina changamoto ya kupata wafadhili popote vilipo, pigeni sim namba...
Kama inavyojieleza, natafuta mafuta hayo ya black seed oil na mafuta ya pumpkin seed (mafuta ya mbegu za maboga).
Mwenye nayo au kujua ntapata wapi anisaidie!
Nipo Shinyanga.
Ndugu wana JF, habari zenyu !!!!?
Mie ni soko la ndani na nje kwa vifaa vya mahospitalini (Hospital Equipments) na vitendanishi (reagents) mbalimbali.
Nina uzoefu katika usambazaji na uuzaji wa...
Salaam wakuu, nahitaji kufungua kiwanda cha kutengeneza furnitures kama vile vitanda, milango, madawati, makabati n.k nimesikia Dubai zinapatikana kwa bei rahisi sana, mwenye connection anisaidie.
Kichwa cha habari kinajieleza. Natafuta Nike Air Jordan ndefu. Najua Original siwezi bei au ata kuipata ikawa changamoto lakini angalau inayoendana endana na "uorijino".
Ndio nishacheki za...
Wakuu habari zenu.
Nauza mashine ya chostic zile za kulamba (za vijiti) kama za Azam.
Mashine bei ni Million 1, vikopo vyake ni 270 kila kimoja. Inagandisha chostic 80 ndani ya dakika 20.
Pia...
Kipindi hiki Biashara inayokuwa na ambayo Kwa siku itajitahidi kukuingizia kipato ni Biashara za vyakula.
Niliwahi kuinukuu kauli ya billionaire wetu hapa bongo MO
akasema yeye binafsi kajikita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.