Kama wanavyoonekana katika picha:
[emoji215]Wana afya ya kutosha (~ 1.3 kg)
[emoji215]Wana wiki nne sasa
[emoji215]Wapo zaidi ya mia
[emoji215]Wateja wote (jumla na reja reja) mnakaribishwa...
Nauz vifaranga vya bata aina mbali mbali Kama vile bata Bukini, jumbo perkin, ruen, Indian runner .
Na pia nauza bata wa Kienyeji ( Muscovy)
Napatikana CHANIKA KWA SINGA
Call 0783 29 11 07
✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c
👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa...
Nyumba ipo Chanika mwisho wilaya ya ilala DSM
Ina chumba kimoja chenye ukubwa wa futi14 kwa14 na fremu ya biashara moja pia yenye ukubwa wa futi14 kwa 14. Imekamilika kila kitu pamoja na tiles...
# Gunia ni za kilo 100 kila moja
# kila gunia moja 50000 tu sawa na 500/kilo
# mashudu yapo mkoa wa pwani ila mwenye uhitaji atasafirishiwa popote ndani ya dar na mikoa jirani
Wahi chap***...
*** Nina Carpet mbili moja nyeusi na nyingine transparent kila moja ntauza 20000/ badala ya 40
***Kamba ya chuma ya kuvutia gari wa kati wa dharura taiuza kwa 10000 badala ya elfu 20...
Pool table lipo Sinza Madukani njia ya vunja bei ilipo vizuri mipira yote ipo na fimbo mbili karibu sana kwa Tsh milioni 1,000,000 WhatsApp no 0683292291 of call 0716195522 asante sana
TECNO tumedhamiria kuendelea kuwafurahisha wateja watu kwa kutoa toleo lenye muonekano mpya linalokwenda kwa jina la CAMON 19 PRO Mondrian. Simu hii ina uwezo mkubwa na muonekano wa kuvutia na...
NAUZA NA KUFUNGA VIOO VYA FLAT TV AINA MBALI MBALI KUANZIA INCH 24 MPAKA 55
Location: Jengo la biashara machinga complex karume Jengo la upande wa Ilala
Time: Jumatatu-Jmosi kuanzia saa 3 asubhui...
Manual juicer ya kisasa
(Bei Tsh 30,000)
&Haitumii umeme, rahisi kutumia.
&Inatoa juice Safi bila chemical
& Portable,rahisi kusafiri nayo
&Imeundwa kwa material imara(Aluminum)
&Rahisi...
Tunafunga madish aina zote kama DSTV,AZAM, TING, STARTIMES nk pia tunafungunga tv za LCD na LED ukutani.
NB:Bei maelewano
Tunapatikana Kimara Dar es salaam
Contact:0765570952...
Tunafunga madish aina zote... AZAM, DSTV, STAR TIMES, TING, ZUKU.. nk...
Location: kimara mwisho
Tunatoa huduma sehem yeyote Dar es salaam na mikoa jiran
Contact: 0765570952
Sent using Jamii...
Natafuta kijana mwenye uwezo wa kupiga indoot picture.....nikimaanisha indoor property photography yani anaeweza kupiga picha na kufanya production ya hizo picha zionekane zenyw mwanga na nadhifu...
Uliza swali lolote linalohusiana na Kampuni za kukusanya madeni( debt recovery agencies)
Nyakisasa Empire watajitahidi kuwajibu kwa kadri ya uwezo wao.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.