Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza duka bei 3m haishuki, limelipiwa kodi mpka mwaka unaisha,lina leseni ya biashara inaexpire mwakani mwez wa 4 pia lina dawa za kuanzia na makabati 4 ya aluminium na mlango wake. Location ipo...
4 Reactions
29 Replies
9K Views
Weka order yako chap, sio siku nzima unashinda kufanya usafi ndani (super ten inakurahisishia kusafidha nyumba), jamani masofa na ma kapet sio unakaa na sofa au kapeti linejaa vumbi, madoa ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naitwa sharifu mussa, ni graphics designer wa Ot Technology, karibuni sana wateja kupata huduma mbali mbali za graphics designing ikiwemo label za bidhaa , business card, mabango ,. Gharama zetu...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Habari, nahitaji mtu anayeuza monitor screen ya desktop kuanzia nchi 19. Brand iwe Dell au HP. Location Dar es salaam
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Habari zenu Najua hapa jf Pana wengi ikiwemo wenye nyumba na wenye taarifa kuhusu nyumba. Inatafutwa nyumba ya Vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo. Mitaa iwe ya barabara ya mbezi...
2 Reactions
1 Replies
661 Views
Habari wandugu ! Natafuta sehemu ya office size ya kati tu . Maeneo ya Dar ! Budget yangu 300k kama unajua jengo au sehem plz msaada
0 Reactions
2 Replies
538 Views
Natumai wanajamiiforum mko pia kabsa natanguliza shukran. Naomba kufahamu office za FedEx dar es salaam zinapatikana wapi I mean full address na km kuna namba zao pia naomba 🙏🙏
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KIWANJA KINAUZWA, MBWENI DARE SALAAM SIZE: 25m*25m dakika 5 kutoka Bagamoyo Road Miundombinu yote ipo na kumeshajengeka sana Bei 8.million (milioni 8 tu za kitanzania) Mawasiliano 0713096076
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Laptop aina ya Lenovo Storage: 1 terrabyte Corei5 Ram: 8 gb Battery: 5hrs (Normal use) Processor 2.3-2.4 Ghz Imported from Dubai. Ipo clean na haijatumika kbsa hapa bongo. Unaiona kwanza...
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Watu wa Mungu! Mwenye kuuza Gypsum board ambazo ni reject (zinakuwa na dorari ndogo ndogo sana) naomba aje na offer yake. WhatsApp 0656142433 Calls/Sms 0689629763
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Tunachora Ramani za nyumba za kisasa kwa ajili ya kuchukulia kibali za ujenzi manispaa kwa bei nafuu sana Tunakufikia mikoa yote Tanzania Wasiana nasi leo kwa simu / whatsapp 0717 040 837 au 0767...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyosema used engine kutoka Dubai, inaweza kufanya kazi kwenye nissan sunny, nissan match na nissan saloon inauzwa iko complete na gearbox yake mwisho Engine haijawahi kutembea hapa...
0 Reactions
101 Replies
17K Views
  • Poll Poll
Maelezo Kwa Kiswahili Habari njema kwa wafanyabiashara mliokuwa mnapata changamoto juu ya namna bora ya kusimamia biashara zenu. Adiuta Business Assistant ni Mfumo unaokusaidia kusimamia fedha za...
11 Reactions
43 Replies
12K Views
Ukubwa wa kiwanja - 20 kwa 20 Ramani yake - Vyumba vitatu ( 1master) Sebule Dinning Jiko Stoo Bei - 15MILION🔥🔥🔥 Mahali - MBEZI-MAKABE Mawasiliano - 0688986066/0747840807
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Kimfaacho mtu chake,nauza machine ya kazi sababu ya shida. PC ipo poa chaji 2.5hr. Bei ni 375,000Tsh Napatikana Dar, Mikocheni. Call 0753038470.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari samahan sana kwa kutumia muda wenu lakin nianaombi moji ambalo no ufadhili wa masomo ya diploma kwa mwaka wa masomo 2022/2023. Naitwa Frank Mabula juma nikijana mwenye umri wa miaka 21...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye kuuza bidhaa tajwa hapo juu aniambie anauza bei gani kwa kilo na yapo mahali gani. Lengo ni kufanya tathmini kisha kuanza biashara hii rasmi hivyo nikiwa na mtu mwenye...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Viwanja dar vinapatikana karibuni sana. Kwa bei rahisi na viko na huduma zote za kijamii Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Back
Top Bottom