Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hapa utakutana na magari ya aina tofauti tofauti na bei ya kipindi cha Magufuli. Magari kuanzia namba A mpaka D za mwishoni Utapata chassis kutoka Japan na ukihitaji kutoka Zanzibar utapata pia...
13 Reactions
213 Replies
28K Views
Habari zenu wakuu. Kama title ilivyojieleza hapo juu, kama kuna mtu anauza ps3 au ps4 used naomba tufanye biashara.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Wana jf husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Laptops dell-Ram 4Gb, ssd 128, processor Intel Celeron sh 390,000/= Zipo nyingi kama inavyoonekana kwenye picha
1 Reactions
4 Replies
720 Views
Inatokea unataka kuja DODOMA kusoma, kuishi au hata kikazi, nakusihi uwasiliane namimi endapo mahitaji yako ni chumba cha kuishi, nyumba au hata appartment. Mpangaji huweza kulipia mara baada ya...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu Hiking NI kifaa kinachorahisisha kazi ya ufungaji wa MADISHI Nilikinunua Mwanza mwaka HUU mwezi wa 5 kwa TSH 200000 Nimekwama kipesa hivyo nakiuza ili nipate PESA ninayohitaji...
1 Reactions
0 Replies
351 Views
Habari za muda huu wakuu,kama kichwa kinavyojieleza,kwa wale wazoefu wa jiji ningependa kuuliza ni gym gani ambayo ni nzuri with affordable price kwa maeneo ya kariakoo,upanga,msasani na...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Kiwanja kipo Msangani, Karibia na zahanati ya Kibaha kwa Mathias Msangani. Ukubwa mita 20 kwa 24 Milioni mbili na nusu Km 6 toka Morogoro road Umeme na maji vipo +255 762 689 034
0 Reactions
4 Replies
1K Views
BIASHARA IMEFUNGWA: LAPTOP IMEUZWA Ahsante kwa kupitia tangazo Habari zenu! Nauza laptop mali yangu mwenyewe haina dalali yenye maelezo haya: Aina: Hp Elitebook Vpro Folio: 1040, touch screen...
0 Reactions
6 Replies
971 Views
Nauza iPhone 8 Plus, 64 GB, simu ipo Dar es salaam. Bei ni 389,000 tshs. Negotiable. Kama unahitaji nicheki hapa au dm. Unaweza pia kunicheki Whatsapp: +8619974300439
1 Reactions
5 Replies
913 Views
Biashara ya wallpapers inakua kwa kasi sana Tanzania. Hii ni kutokana na uhitaji na unafuu wa bidhaa hizi. Wallpapers zinatumika katika maduka ya ofisi na nyumbani pia kama moja ya kuifanya nyumba...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Mshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili. #RudiNyumbaniKumenoga
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika utekelezaji wa miradi, wakati mwingine mteja (client/beneficiary) hutarajia huduma zenye ubora wa kiwango fulani/mtindo fulani tofauti na uwezo wetu katika kuzalisha. Hali hii kwa kiasi...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa sq.909, kinauzwa, bei milioni 5.5 Kipo Nghonghona, kilomita chache sana kutoka Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. Kimepimwa. 0779017650 Kimewekewa beacon kabisa, very...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Tunazo sub woofer za aina mbali mbali kutoka sea piano,aborder,pinetech na keptech. Dar es salaam na maeneo ya jirani unaletewa mpaka nyumbani,mkoani tunatuma pia. tunafute vica electronics...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Mambo vp wakuu, Nahitaji kreti na Chupa za bia na soda. Nipo Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu ipo gari aina ya Canter inauzwa kwa bei ya M18 ikiwa bado ni nzima kabisa..na haina udalali wowote karibuni My number. 0714 664 520
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau nahitaji ist ya cc1290, ila sitaki dalali, owner anaweza nicheki inbox, preferably namba DM kushuka chini
1 Reactions
14 Replies
905 Views
Habari, Nahitaji chumba Cha kupanga maeneo ya TEGETA,KIBO nk Kiwe kuzuri Kuanzia 30 hadi 40 Kodi maelewano miezi 3
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza simu aina ya infinix hot 12 i imetumika wiki moja tu.Ina document zote risiti na warrant card ya mwaka mmoja toka infinix PROPERTIES 1.RAM 2.00 GB 2.ROM 64GB 3.CAMERA 8M 4.13M TRIPLE CAMERA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom