Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Circuit board ya TV Inchi 43 PT430CT02 - 1 - C - 5 inauzwa. Bei TZS. 80,000/= Ni mpya kabisa.
1 Reactions
3 Replies
548 Views
Samahan content haiendani na kichwa cha habari Nauza polo shirts (form six) kwa jumla kuanzia piece 10 na kuendelea sh 11,500/= Tunatuma mpaka mikoani 0713520180
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Amani iwe kwenu ndugu zangu! Naam nmekuja tena na vitabu vya sheria kwa kiswahili toleo la pili baada ya toleo la kwanza kufanya vizuri. Vitabu hiki kimechambua kwa undani sheria zifuatazo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ñdugu zangu nina shida na Mtu anaejua lugha ya Kireno kiufasaha kuongea na kuandika Kwa uweledi .KUNA KAMPUNI INATAFUTA MTU ANAEJUA HIYO LUGHA YA KIPORTUGUESE KUONGEA NA KUTAFSIRI WANA TRIP YA...
3 Reactions
5 Replies
540 Views
It has 2 bedrooms, sitting room, Kitchen and inside public toilets 📋 Plot has 400 square meters size with Sales Agreement Document ☎️0747744895
1 Reactions
2 Replies
709 Views
Wandugu ninatafuta kinanda kwa ajili ya matumizi ya kanisani,nina shilingi laki mbili.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mashine mpya kabisa ya kutengenezea chaki inauzwa Tsh 300,000 tu Ina matundu 100 Nipigie kwa 0769 863 484 tufanye biashara chap Location: Dar es Salaam
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama Tangazo linavyosema tunauza rim paper cartoon moja sh 65,000/= kwa aina zote za rim, kwa aliyeko dar ukichukua cartoon Zaid ya mbili unaletewa bure na tunatuma mpaka mikoani zifuatazo ni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Za jioni, Nahitaj chumba kimoja maeneo ya Morroco. Sitaki dalali hatuna hela ya kumpa, sina maelezo mengi.
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Bajaj ya ABIRIA inauzwa. kampuni Piaggio IGOMA-MWANZA Uhakika elfu 20 kila siku Haina shida yoyote, njoo na fundi wako mkague inapiga kazi mpaka sasa njoo na 4mil uendelee na kazi Tuwasiliane...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Karibu ujipatie Vipuri vya mitambo ifuatayo ila iwe ni brand ya CAT. 1. Grader 2. Dozer 3. Backhoe 4. Wheelloder 5. Roller Vipuri kuanzia vya engine mpaka body parts utazipata. Na attach...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Gari iko vizuri haina tatizo lolote kubwa, Engine haijaguswa. Bei ni Yah. Milioni 4. Mnunuzi serious nicheki kwa 0758515303 au 0653 626295. Niko Mwanza
1 Reactions
3 Replies
777 Views
Salaam wakuu Kwanza nichukue nafasi hii kukushukuru kwa kufungua nakutaka kujua content zilizomo katika thread hii; Mimi ni kijana mwenye kipawa Cha uchoraji michoro yenye uhalisia na huu uzi...
53 Reactions
208 Replies
18K Views
Jaman ninataka room ya kupanga morogoro iwe self contained pia security iwepo
2 Reactions
204 Replies
27K Views
Wakuu habari za weekend, Nahitaji contena la 10ft niko dodoma, kwa aliye nalo ama anayefahamu yanakopatikana naomba tuwasiliane Mawasiliano 0623441247 Asante!!!
0 Reactions
0 Replies
459 Views
House for rent at Mikocheni Morocco. ~ 3 bedrooms ~ Rent 1.5 mil. ~ Advance payment 6 months Note: Viewing charges and agent comission is applied.
0 Reactions
3 Replies
757 Views
Bei 15,000/=(Negotiable) Ipo Kigamboni 0738 862 877
0 Reactions
5 Replies
641 Views
Kama kichwa kinanyojielezea nyumba ya vyumba vitatu vya kulala kimoja master sitting room, dining na jiko na Choo cha public nyumba ni mpya kabisa ina eneo kubwa la kulaza ata gari 4 na tenki la...
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Kwamahitaji yamashamba kwa ajili ya uwekezaji nitafute zaidi kwa namba 0763165384. Mashamba Yana miundombinu yote.napatkana mkoa wa njombe kata ya lupembe.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
nauza home theater LG watts 1000 bei 480k spika ndefu 4,1 kidogo cha mezani,base, na deki yake redio bado mpya inamakaratasi yake location:Dar es salaam,kigamboni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom