Sina maelezo mengi ila dili na Specifications
Hp Laptop 14
Processor Intel(R) Core i3-7020U CPU @2.30GHz (4CPUs)
7th Generation
Memory 4GB
Storage 256 GB SSD
Battery 🔋 5Hrs
Second Hand
Tsh...
brenda mpya nimetumia siku moja tu sababu ya kuuza ni maneno maneno ya wapangaj kua niongeze hela ya umeme sababu nimeongezea brenda namba yangu 0657656697nipo dar es salaam banana ukonga.
Redmi Buds 3 Lite
Genuine assured [emoji817]
Bluetooth 5.2
Low Latency Mode
Pure Bass 3D Sound
Long Battery Life
Strong Mic & Stable Connection
Tsh 45,000/=
[emoji626]Free Delivery in Arusha and...
[emoji3581]Blender nzuri za Silver Crest Heavy duty
[emoji3581]Jagi moja
[emoji91]Bei 70,000 per piece
[emoji3581]Delivery tunafanya kwa garama za mteja
[emoji3581]Mikoani tunatuna kwa uaminifu...
Habari
Leo wadau nawaletea biashara ya kuifanya mwenyewe au kumweka mtu ambayo inayolipa na yenye risk ndogo sana.
Tafuta shule ya msingi (recommended)au ya sekondary omba nafasi ndani ya shule...
Habari,
Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa
Inachuja yenyewe
Inaweza kusaga mpaka miwa 300 kwa saa 1
750W
Inawarranty ya mwaka mzima
Bei: Tsh 1,300,000/...
Uwezo wake ni kukanda kilo 12.5
Ina mikono mitatu
Ni stainless steel
Ina nguvu
1 year warranty
Bei:1,650,000Tsh
Tupo kkoo mtaa wa masasi
Mikoani tunatuma
0788622610
Wazee nauza tire/tyre mobility kit, hii ni pump ya kuzaja upepo kwa emergency ama hata nyumbani pia inatumia umeme wa gari, unachomeka kwenye kibiriti pale, mambo mswano. Nimetestia kujazia tairi...
Jipatie mashine za kusaga na kukoboa, zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu kabsa wasiliana nasi, 0754043910,0656873718, tupo mabibo dar es salaam, karibuni nyote.
Mwenye uhitaji wa Dereva anaye peleka magari madogo mikoani na mipakani nipo kwa ajili hiyo, bei zangu rafiki sana na nafanya kwa uaminifu mkubwa sana.
Napeleka magari yanayotoka bandarini na...
Habari wakuu,
Kuna mzee wangu mmoja amepatwa na shida ghafla hivyo anauza shamba lake hekari 10 lililopo Kiwangwa, Bagamoyo.
Shamba liko vizuri sana na lina documents halali zote. Lipo kilometa...
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja...
Habari!
Kwa mwenye laptop aina ya hp pavilion g6-2101tu nahitaji mashine yake tu iwe ni nzima hyo mashine
Complete ila ram na hdd baki navyo mwenyew sitaki chaji sitaki kioo
Offer yngu 50,000...
Katika kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, serikali yetu itakuja na utaratibu wa kumruhusu mteja kuinunua gesi kwa bei ndogo kulingana na mahitaji yake.
Kwa sasa wengi wanashindwa kumudu...
Kama wanavyoonekana katika picha:
[emoji215]Wana afya ya kutosha (~ 1.3 kg)
[emoji215]Wana wiki nne sasa
[emoji215]Wapo zaidi ya mia
[emoji215]Wateja wote (jumla na reja reja) mnakaribishwa...
Nauz vifaranga vya bata aina mbali mbali Kama vile bata Bukini, jumbo perkin, ruen, Indian runner .
Na pia nauza bata wa Kienyeji ( Muscovy)
Napatikana CHANIKA KWA SINGA
Call 0783 29 11 07
✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c
👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.