Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu ndugu wapendwa, Samahani kwa usumbufu wenu, nilikua naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia kupata frem ndogo kwa ajili ya biashara ya uwakala. Naombeni msaada wenu, kama kuna mtu...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Tunatumia vitu vya asili kuhudumia nywele…salama kwa watoto na wakubwa.. na matokeo ni hakika Karibuni sana G&L natural products
0 Reactions
1 Replies
491 Views
Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia. Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana. Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata.. UBORA WA HIZI...
6 Reactions
372 Replies
60K Views
* Kwa waendesha bodaboda au magari wakati wa usiku, kama umekuwa ukisumbuliwa na UKUNGU pamoja na TAA za full kutoka kwa madereva wengine mpaka inakupelekea kushindwa kuona mbele. * Jibu...
2 Reactions
174 Replies
73K Views
Wakuu Habari nauza hizi items zangu kwa dharula,nauhitaji mkubwa wa pesa kwa ajiri ya kugharamia matibabu. LAPTOP HP INTEL CORE i5 7th Gen Os. Windows 10pro (activated) Hdd 500GB Ram 8GB Display...
7 Reactions
167 Replies
12K Views
Amani iwe nanyi. Moja kwa moja naomba nijitambulishe kwa imani mimi ni muumini wa dini ya Kiislam.Katika maandiko matakatifu ya kitabu cha Quran naona kuwa Suala la RIBA limekemewa sana ,kifupi...
5 Reactions
96 Replies
17K Views
Habari wakuu, Wapi nitapata chimbo la spea za pikipiki kwa bei ya jumla nahitaji kuuuza jumla la rejareja sasa wapi nitapata mzigo kwa bei ya jumla mwenye data kuhusu hii biashara msaada wakuu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu, naomba kujua kwa hapa bongo ni dealer yupi anauza au kupitia yeye naweza kupata gari mpya kabisa yaani 0 kilometer.Gari hizi ni Kama, 1. Mercedes Benz S class (2022) 2. Audi...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako. 1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200. Tsh. 17000 = Km. 200 ? = Km. 1...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
Igweee! Jamani ninajua humu kuna wataalamu kila nyanja. Ninakuja Dar kwa matibabu, nitakaa siku 5-10 nina familia ya watu 4. Ninahitaji sehemu inayoweza saidia kukaa na watu wangu kwa siku tajwa...
1 Reactions
4 Replies
501 Views
Kama umewahi au unamiliki kampuni basi maneno yafuatayo yatakuwepo katika msamiati wa maneno yako Share Capital, Authorized Share Capital, Paid up and issued shares. Maneno mengine ambayo utakuwa...
12 Reactions
28 Replies
5K Views
Hello wanajukwaa, Je, unafikiria shule Bora Kilimanjaro yenye Ada nafuu Kilimanjaro!? Nazarene ndio JIBU lako, mlete mwanao apate elimu Bora na malezi sahihi kwa mustakabali wa maisha yake! Ada...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Habarin Wana JF, Nahitaji iPhone X ya GB 64, battery health iwe kuanzia 90% na face id sio lazima. Offer yangu ni 290,000/=
0 Reactions
4 Replies
637 Views
Makava mapya na glas 5D NA ZA KAWAIDA 1. SAMSUNG A2CORE 2. SAMSUNG A10 3. Samsung A20 4. Infinix note5 5. Infinix hot6 6 .infinix hot7 7. Oppo 15proo 8. Oppo f7 9. Tecno pouver3 10. Tecno spak3...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa. Ukubwa ni Squaremeter 1200 Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya...
4 Reactions
66 Replies
8K Views
Gari yako kama taa zake zina ukungu tumia hiyo dawa, Au michubuko midogo midogo ondoa kwahiyo huipati dukani kokote tanzania zimetoka dubai Kabla hujalipia nakusafishia taa au michubuko, taa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
kwema wadau? Samahani nilikuwa naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla jumla ni sh ngap hapo ulipo, hasa kwa mkoa wa songwe kuwa ni shilingi ngapi?
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba kujua bei ya ndizi mzuzu mikoani na je, naweza pata mtu akaniuzia?
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nipo mbele yenu, nimeweza kutafuta vihela ili niweze kununua simu. Baada ya kuwaza sana nimeona simu inayo nifaa ni HUAWEI P20 PRO. Hivyyo mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom