Nahitaji miti ya Miharadali

Nahitaji miti ya Miharadali

Binafsi I recommend ufike mkoa wa morogoro, SUA , wakala wa mbegu za miti Kihonda, maliasili - kilakala ..in those three places utaweza pata namna ya kuipata, maana mustard trees are rare.
Nashukuru kwa ushauri wako ..na kweli ni hii miti ni ngumu kuipata nimeitafuta sana kwa waotesha miche miti haipatikani
 
Binafsi I recommend ufike mkoa wa morogoro, SUA , wakala wa mbegu za miti Kihonda, maliasili - kilakala ..in those three places utaweza pata namna ya kuipata, maana mustard trees are rare.
Naomba kama unanamba za mhusika yoyote huko SUA au kwa hao mawakala wa mbegu niandie hapa au DM

#NAMBA ZITANIPA UHAKIKA WA SAFARI YANGU KAMA NITAFANIKIWA KUPATA MIHARADALI NIKIFIKA HUKO
 
Naomba kama unanamba za mhusika yoyote huko SUA au kwa hao mawakala wa mbegu niandie hapa au DM

#NAMBA ZITANIPA UHAKIKA WA SAFARI YANGU KAMA NITAFANIKIWA KUPATA MIHARADALI NIKIFIKA HUKO
yupo dada mmoja anauza miche humu, na anapatikana huko SUA. Ukiweza kuwasiana nae anaweza kukutumia.

 
yupo dada mmoja anauza miche humu, na anapatikana huko SUA. Ukiweza kuwasiana nae anaweza kukutumia.

Shukran mkuu nakwenda kumtafuta huyo
 
Nahitaji miti 500 ya miharadali kwa alienayo tayari kwa kupanda au tunaweza kuingia makubaliano ya kunioteshea

#Mahali popote pale miti ilipo nitaifuata mwenyewe
Uko wapi njoobuchukue bure huku
 
IMG-20210620-WA0004.jpg

Miche ya haradali
 
Back
Top Bottom