Sasa unaweza kujipatia logo kari sana kama hizi kwa bei nzuli kabisa na kwa muda lafiki karibu sana
MLB (Mnyilinga logo bank ) 😁😁
Kwa mahitaji ya logo nichek DM tuongee kwa bei nzuri sana na...
Nauza au Kukodisha pick up Single cabin
Imenunuliwa 2014 ikiwa mpya kutoka South Africa.
Namba ya Usajili T4....DBW
Kwa Yoyote atakaye hitaji napatikana kwa
0767 848423
Wakuu nataka kuingia kwenye biashara ya usafirishaji hivyo natamani kuanza na hiace .
Bajeti yangu ni 13M
Hiace iwe katika hali nzuri' iwe ni manual na inayotumia diesel
Habar Wakuu
Natafuta Sehemu ya Kukodi Jiko la Kitimoto Maeneo ya Dar liwepo kwenye mazingira Rafiki kwa biashara ya Kitimoto
Kwa Mawasiliano 0656080608 OR 0622516506
Model: H8 Pro Max Smart watch,
[emoji449]Series 8 appearance
[emoji397]android na Apple zote zinakubali,
[emoji397]inaonyesha muda km kawaida,
[emoji449]Zina mikanda miwili ya kubadilisha...
Habari za muda huu wana JamiiForums, poleni na uchovu wa mihangaiko ya siku nzima.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada, kwa research yangu ndogo nimegundua hapa Tanzania wengi hatuna elimu...
Msimu wa likizo tunakuletea baskeli za watoto kwa bei chee changamkia fursa
Chagua baskeli utakayoipeneda hapo chini
Tunapatikana Tabata Dar es salaam
Tunafanya delivery popote Tanzania...
Bei ni Tsh 499,000/= from Belight Technology
Mawasiliano: WhatsApp/Call: 0715189999
Brand: Yongmei, Model: YM 758 (BRAND NEW)
Keys :61 -Display:LCD
Pitch bend & Vibrato:YES
USB MP3 player &...
Nyumba yako au ardhi yako kuuzwa kwa njia ya mnada wa hadhara ni jambo ambalo linaweza kutokea ikiwa umeamua kujenga utajiri kupitia uwekezaji huu.
Chanagamoto ya kuuzwa nyumba au ardhi yako kwa...
Kichwa chajieleza hapo juu, natafuta gari ya kununua kama hiyo hapo offer yangu ni 40 kushuka chini.
Nitext WhatsApp, unitumie picha, location, na baadhi ya maelezo kidogo kuhusu hiyo gari. Pia...
Unapotaka kununua kituo cha mafuta uliza yafuatayo kuhusu kituo hicho kabla hujafanya maamuzi
1.Uliza location ya kituo hicho.
2. Uliza connection za wateja wakudumu ambazo kituo hicho...
Wakuu habari, kwa wale wanaojikusanya na kuanza maisha au kwa wanaojiendeleza kwa kununua sehemu mbali mbali za ardhi, basi nawaletea tangazo hili la kuuzwa eneo lenye ukubwa wa 20 kwa 40 kwa bei...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kukodi gari zifuatazo kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Yoyote mwenye moja kati ya hizi au zote kwa pamoja naomba aipost gari...
Kampuni ya TECNO bado ina endelea na Kampeni yake ya kila mechi ina mshindi katika msimu huu wa kombe la dunia ambapo ili kushiriki unachotakiwa kufanya ni kupost picha ya mtu umpendae na ujumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.