10k???? Ulinunua sh ngap boss10,000 npo mwanza
Hiyo ni mojaSi zipo zote mbili
Usichofamu hao wasio wanunuzi ndio wanaufanya Uzi uwe ukurasa wa mbele.Tusiokuwa wanunuzi huwa tunajua kukera sana.
We ukiipenda nunua na tuma hela ya kusafirishiwa.Ila vipo vitu vya kuleta humu..hivi kweli kitu cha elfu 10 ndiyo cha kufungulia Uzi hapa? haya niko Mbeya halafu hiyo bidhaa ya elfu 10 itanigharimu kiasi gani kunifikia?
Kwani wote wapo .mbeya?Ila vipo vitu vya kuleta humu..hivi kweli kitu cha elfu 10 ndiyo cha kufungulia Uzi hapa? haya niko Mbeya halafu hiyo bidhaa ya elfu 10 itanigharimu kiasi gani kunifikia?