Ninahitaji gari Engine Ndogo cc 1300 hadi 1500cc

Ninahitaji gari Engine Ndogo cc 1300 hadi 1500cc

HeisenbergJr

Member
Joined
Aug 17, 2015
Posts
38
Reaction score
13
Ninahitaji gari la kupigia misele ya town kwenda kazini nk,lengo langu ni kununua kutoka kwa mmiliki wa Gari husika na sio Dalali.
Brand Ikiwa Toyota Itakua Vyema Sana

Budget ni 5.5 M
Itakua vyema kama Gari Itakua ipo Dsm

N.B
Nahitaji kutoka kwa Mmiliki na Sio Dalali maana Wana Overprice
 
Back
Top Bottom