House4Sale Nyumba inauzwa Katoro Geita

0768628314

Member
Apr 22, 2019
44
95
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp

Ina vyumba vya kulala 4

Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo

Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.

Inapatikana katoro-geita

Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.95


0692547049 au 0768628314 & whatsapp

20220929_123140.jpg
20220929_123848.jpg
20220929_123232.jpg
20220929_124112.jpg
20220929_124012.jpg
 
Kumbe katoro pesa ya madini ipo nje nje,
hivi kuna nyumba ya m95 hapo? Au ni boma lililo ezekwa bati.
Hio ni nyumba mkuu sio ka nyumba kama ni boma lililo ezekwa basi sawa kama kiwanja unanunua mpaka mil 10 je ujenzi wewe kama huna pesa sema sina hicho kiasi tujue
 
Nyumba hujafanya finishing m95 bado ni kubwa, mshauri muuzaji aweke Bei reasonable


Afu sema tu Ina vyumba vinne! Mambo ya chumba Cha watoto wa kiume, mara wa kike hayana umuhimu

Anyway Kila la kheri
Shukrani mkuu muhitaji na mnunuzi atakuja na bei yake tutazungumza
 
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp

Ina vyumba vya kulala 4

Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo

Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.

Inapatikana katoro-geita

Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.95


0692547049 au 0768628314 & whatsapp

View attachment 2515518View attachment 2515519View attachment 2515520View attachment 2515521View attachment 2515522
Huko kijijini ukiuza bei kubwa saana haitazidi 40M
 
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp

Ina vyumba vya kulala 4

Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo

Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.

Inapatikana katoro-geita

Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.95

0692547049 au 0768628314 & whatsapp
20220929_123232.jpg
20220929_123712.jpg
20220929_123131.jpg
20220929_123848.jpg
 
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp

Ina vyumba vya kulala 4

Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo

Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.

Inapatikana katoro-geita

Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.75

0692547049 au 0768628314 & whatsapp
20220929_123232.jpg
20220929_123712.jpg
20220929_123839.jpg
20220929_123953.jpg
20220929_123232.jpg
 
Dah
Hiyo kwakweli iuzwe tu
Paa linashindana na Mt Kilimanjaro
 
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp

Ina vyumba vya kulala 4

Master 1
Chumba cha kulala watoto wa kiume 1
Chumba cha kulala watoto wa kike 1
Chumba cha wageni 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo

Umeme upo mlangoni ni wewe na mita yako tu.

Inapatikana katoro-geita

Nyumba ya kisasa ya familia ina hitaji mtu makini alie serious inahitaji ml.75

0692547049 au 0768628314 & whatsapp
View attachment 2516448View attachment 2516449View attachment 2516451View attachment 2516452View attachment 2516450
Sasa mkuu hiyo dropping from 95-75...
Basi angefanya 50M kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom