Habari wakuu,
Natafuta fremu ya kuweka nguo maeneo ya Goba Center. Maeneo yawe yamechangamka wakuu. Kama unayo au naweza kuipata kupitia wewe tuwasiliane wakuu.
0734 187722 (WhatsApp)
Saa za rado ni 65,000 ni Original
Pia saa za navigate jipatie kwa sh 60k
Bila kusahau mashuka mazuri kutoka Uganda size 7×6 7×8, unapata mashuka mawili na foronya zake4, material: cotton, kwa sh...
Habari za muda huu wakuu,
Nauza Kabati la kuwekea Vitafunwa, Matunda au Chips. Pamoja na Jiko la kuchomea nyama ina ngazi mbili.
Bei ya Kabati; Sh 150,000
Jiko; Sh 80,000
Eneo: Baruti, Ubungo.
Habari wakubwa kichwa cha habari chajieleza, napesa mfuko wa shati laki 6 nashida na kioo cha TV Tajwa hapo juu, Deler kaniambia kinauzwa 1.1M kwa kweli nimeshindwa.
Kwa mwenye nacho hata cha...
NUNUA KIWANJA CHENYE PAGALE MADALE FLAMINGO SASA KWA BEI YA MILIONI 40 MAZUNGUMZO YAPO KIWANJA KIMEPIMWA NA KINA HATI.
WAHI KABLA HAKIJAWAHIWA
●Kiwanja pamoja na nyumba kimepimwa ukubwa Sqm 800...
Natafuta nyumba ya biashara ya kununua iwe chini ya 50mil
Kama ni lodge,
Ya kupangisha/apartment,
Fremu,
Iwe DSM eneo lililochangamka
Weka biashara hadharani
Maswala ya kutaka namba za simu siyo...
I offer home TUITION services to secondary school students, Physics and Chemistry subjects at reasonable rates. This applies to Dar es salaam dwellers only.
Call +255758517100 for further...
Habari zenu waheshimiwa!
Nakodisha gari (Toyota Noah - 2005 Model) naikodisha siku yoyote utakayoihitaji, labda tu iwe imekodiwa na mtu mwingine. Naikodisha kwa ghrama tofauti kulingana na siku...
Nyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk
Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu
Uwanja una ukubwa...
Tuna Upungufu wa Vijana Wa Masoko na Mauzo Ofisini Kwetu.
Kama Unamjua Kijana Anayeweza Kufanya Masoko na Mauzo mpe Namba yangu
0742 744 363
Tunapatikana Mliman City, Dar Es Salaam.
Habari wana JF,
Kama kichwa cha tangazo kinavyosema, nahiuhitaji wa vifaa mbalimbali kwa ajil8 ya biashara ya chips(viazi). Vifaa hivyo ni kama jiko liwe la rimu au maranda, kabati ya aluminium...
Nauza gari ambayo mteja anaipenda.
Namwachia mteja achague aina ya gari, rangi yake, mwaka na bajeti yake. Kisha nitamretea gari hiyo.
Kwa sasa ambazo wateja wamezitaja sana ni hizi hapa
Naombeni msaada ni njia gani cheap na salama naweza kutumia Kusafirisha vitu ya ndani kutoka Dar es salaam Hadi Songea!🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Na Bei za usafirishaji zipoje?
Habari wakuu , napatikana mjini USHIROMBO wilaya ya BUKOMBE,
Tangu mwaka 2006 nimekuwa nikijihusisha na kazi hii ya ufundi wa madishi mpaka muda huu namudu kufanya kazi yoyote sio kufunga...
Sizes :5kwa6,6kwa6,7kwa8
bei 25000tuu
shuka 2 na foronya mbili
Rangi zipo rangi mbalimbali
Location : Dar es salaam ,Riverside
karibuni mawasiliano :0657386021
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana .
Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.