Habari wanachama wa jf, nauza simu yangu infinix hot 11 ya gb 128
Naiuza Nina shida na hela
Simu aina tatizo lolote ipo safi kabisa
Gb 128
RAM 4 unaongeza hadi ram 7
ANDROID 11
CAMERA 50 MPX...
Maisha yanakwenda kasi sana aisee! Unakumbuka kipindi cha nyuma tumewasha moto kwa kutumia karatasi, majani, vijiti vya miti, karatasi za nylon na hata mipira kama kandambili na hapo Mkaa ulitii...
Habari wanajamvi....?
Hii ni habari njema kwa wafanya biashara wenye maduka makubwa,kati na madogo yenye uhitaji,,,,
Kampuni yetu pendwa ya NEXIS tunapenda kuwataarifu kuwa tunawakaribisha ili...
Car parking shade inakupatia ulinzi mzuli wa gali yako na inakupa mwonekano mzuli wa nyumba yako kalibuni sana wateja popote ulipo tunafika piga/whatssap.0653653480 bei zetu ni gali moja.1.5m gali...
Nimepata dharura kwahiyo nimeamua kuuza ofisi yangu ya PlayStation (Gamecentre).
Ina vitu vifuatavyo: (kila kitu kimetumika kwa mwezi mmoja)
Bei hazina maongezi (prices are fixed)
1-Sony...
Wadau natafuta chumba cha kupanga kwa wiki mbili maeneo ya kinondoni.
Mi ntakua dar kikazi Tar 27 March - 08 April, hivyo chumba kiwe furnished.
Maeneo ya kinondoni, au karibu na town.
Whatsapp...
Habari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja...
About US
Tzhosts is a Tanzania company that specializes in development, deployment and management of digital solutions for small and medium size businesses. We offer services and solutions across...
Tunauza trekta aina ya Lovol,
Lovol 754-75HP 4WD bei ni 53,000,000/= Tsh
Lovol 504-50HP 4WD bei ni 39,000,000/= Tsh
Trekta zetu ni imara, zenye nguvu na utumiaji wa mafuta mdogo.
Mfano; HP 75 4WD...
Hello bosses.
Kwa wale mnaohitaji kujifunza au kujiboresha katika Computer Programming karibuni kwenye community ya tech255.com ambayo imegawanyika katika sehemu 3
1) Website
Hapa utapata kozi...
Wanajamvi kuna mtu anafaham, wapii naweza agiza injini za boti, kama YAMAHA, PATSUN, HONDA, MARINER NA THE LIKES...
au walee wanaogaza magari Japan wanaweza kubalii ofa ya kuletaa mashine hizi...
Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tunawashauri watanzania juu ya elimu ya vitu vya ki-electronics hususani computer ikiwemo mambo ya kuzingatia kabla ya kununua, vitu vya kufanya na vitu vya...
Mid-century architectural design yenye master bedroom 2, ina 170sqm. Kiwanja 25m x 25m.
Ina atrium katikati inayoruhusu mwanga kupita kwa wingi. Ina interior design pia.
NB: Inaweza kua modified...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.