Mr_S
Senior Member
- Apr 2, 2022
- 108
- 88
Nimepata dharura kwahiyo nimeamua kuuza ofisi yangu ya PlayStation (Gamecentre).
Ina vitu vifuatavyo: (kila kitu kimetumika kwa mwezi mmoja)
Bei hazina maongezi (prices are fixed)
1-Sony PlayStation 2 inatoka kwa TSh 100,000 pamoja na memory card, flash, padi mbili na nyaya zote.
2-Sony PlayStation 3 inatoka kwa 280,000 pamoja na padi mbili na nyaya zote.
3-TV (flat) mbili za inchi 24 zinatoka kwa 160,000 kila moja (zote mbili 320,000).
4. Meza mbili (moja kubwa, nyingine ndogo), bei maongezi.
5. Mabenchi mawili makubwa, bei maongezi.
Ofisi ipo Temeke, Dar es salaam.
Kwa maelezo zaidi: 0656 20 30 45
Ina vitu vifuatavyo: (kila kitu kimetumika kwa mwezi mmoja)
Bei hazina maongezi (prices are fixed)
1-Sony PlayStation 2 inatoka kwa TSh 100,000 pamoja na memory card, flash, padi mbili na nyaya zote.
2-Sony PlayStation 3 inatoka kwa 280,000 pamoja na padi mbili na nyaya zote.
3-TV (flat) mbili za inchi 24 zinatoka kwa 160,000 kila moja (zote mbili 320,000).
4. Meza mbili (moja kubwa, nyingine ndogo), bei maongezi.
5. Mabenchi mawili makubwa, bei maongezi.
Ofisi ipo Temeke, Dar es salaam.
Kwa maelezo zaidi: 0656 20 30 45