Tanzaniaa wanakazaa sana yaa Mfno iyoo YAMAHA HP 15 ni M4.8 wakatii hapo ni dollar 700 mpk 900Ingia mtandaoni agiza machine... Pia kuna makampuni yana mawakala bongo...
Na kwa tz zina uzwa vile vile...
Ni wewe ukiamua kufanya una Fanya... Sijajua umekwama wapi?
Sasa hiyo dollar 700-900, imeshafika nchini au bado?!kwani kodi ndio balaa, unaweza ukaona gari CIF, kwa $3000, lakini uliulizia bei kwa hapa bongo ni karibu mala mbili yake!!!tatizo kodi za kukomoana!!Tanzaniaa wanakazaa sana yaa Mfno iyoo YAMAHA HP 15 ni M4.8 wakatii hapo ni dollar 700 mpk 900
YAMAHA HP 15 ni M4.8 wakatii hapo ni dollar 700 mpk 900
Umepata
Mkuu kama hujapata nicheki, zipo za South na Uk
Tuna deal na utengenezaji boat na kuagiza engine za boat inboard na outboard engine. Maduka ya spare za outboard engine zote wana deal na Yamaha sababu ndio zipo nyingi baadhi utakuta spea za Suzuki na Mercury.Wambongo mnajua kilakitu hata ambacho akijatengezwa, mkuu umefanya utafiti lini uli cost miaka mingapi ukiwa wapi na gharama kiasi gani ulitumia?
Wametumia Gearbox gani?Kuna boat nimeona wamefunga engine ya cruiser 1HZ..hizi huwa inakuaje kwenye ufanisi?
Sijawai kujua chiefWametumia Gearbox gani?
Hiyo boti itakuwa kwenye urefu wa mita 12 mpaka 14, kwenye majahazi wanafunga engine kubwa zaidi ya 1hz ambayo ina 129hp. Wanafunga engine za Volvo D9, Scania 113 za 360/320 hp, Cummins za 250, Yanmar za 250hpSijawai kujua chief