Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Ndugu! Ikiwa tume uwanza mwaka mpya basi nasi tunataka tukuhudumie kwa viwango vya juu kabisa kwa mwaka huu kwa kuwaletea matoleo mazuri zaidi na ya kisasa. Leo tujadiliane kitu kimoja...
1 Reactions
9 Replies
928 Views
Habari za muda huu wanajamvi! Ningependa niende moja kwa moja kwa mada husika pasi na kuwapotezea muda wa kusoma makala ndefu wakuu najua mmechoka na usiku huu Nahitaji sticker za kubandika...
0 Reactions
2 Replies
522 Views
Habari za muda huu wanajamvi. Ningependa niende moja kwa moja kwa mada husika pasi na kuwapotezea muda wa kusoma makala ndefu wakuu najua mmechoka na usiku huu. Nahitaji sticker za kubandika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ikiwa wewe ni mtumiaji mzuri wa simu janja unaweza ukawa una tumia muda wako mwingi kuangalia uwezo mkubwa wa uhifadhi kumbukumbu wa simu, kamera ni megapixels ngapi, saizi ya display, processor...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Tangazo hili limekaa Kwa option zote mnunuzi au muendeshaji Guest house ipo Kata ya Minazi mirefu Kiwalani, wilaya ya Ilala Jiji ipo katika hali nzuri kabisa ina vyumba 10 self, maji ya Dawasa na...
3 Reactions
9 Replies
796 Views
Ram 5 Rom 250 Portable and slim 11.5 Chaji saa 1:30 Kwa 225k Inapungua kidogo 0715 193 810
1 Reactions
5 Replies
583 Views
Ina mistari ila inapiga kazi Ya kubadilisha kioo baadae 150k Inapungua kidogo 0715 193 810
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Habari wana jamvi, me ni mmoja ya watu ambao nimekutana na simu nyingi zenye matatizo hayo, niseme tu sasa yamekwisha. Haya matatizo ya emergency call hasa hasa yapo kwenye samsung nayo nafikix...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu pia afisa utumishi wa uma,ninayo habari njema kwenu, na watoto wenu, kuwa ninafundisha somo la kiingereza kwa weledi mkubwa na kwa gharama...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ninahitaji gari la kupigia misele ya town kwenda kazini nk,lengo langu ni kununua kutoka kwa mmiliki wa Gari husika na sio Dalali. Brand Ikiwa Toyota Itakua Vyema Sana Budget ni 5.5 M Itakua...
1 Reactions
0 Replies
398 Views
✓Shuka √Cotton duvet ✓Foronya Location Dar, Natuma Mkoani na nafnya delivery 📱0626903619 Price 50,000/=
0 Reactions
7 Replies
998 Views
Vitabu zifuatavyo vinapatikana na vitaweza kukusaidia kwa kiasi kikubwa kupata elimu ya fedha na uwekezaji. 1. Increase your Finanncial IQ by Robert Kiyosaki 2. School of money by Olumide O...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asalamu alykum ndugu zangu. Nyumba inauzwa, Ina vyumba Saba(7) vya kulala na vyoo sita, Ina uwanja mkubwa na mabanda kwa ajili ya kufugia kuku yapo. Bei ni milioni mia na hamsini,(150000000) ila...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Vyumba vitatu, kimoja masta Limezungushiwa uzio wa matofali Eneo ni kubwa Umeme mlangoni Liko kwenye barabara ya mtaa Mita 500 kutoka barabara kuu inayoelekea Mtwara Lipo Mkuranga Kwa maelezo...
1 Reactions
13 Replies
885 Views
TCL Android TV inch 32, Ina conditions nzuri na vifaa vyote vipo mpaka box lake Nahitaji 300 0764 966 340 Ipo Mji mwema, Kigamboni
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Masomo yanayofundishwa: ✓ Utangulizi wa makala (maana ya wholesaling real estate). ✓ Tofauti kati ya udalali wa majengo na kuuza majengo ambayo huyamiliki. ✓ Jinsi ya kuuza kwa uhalali. ✓ Kuwa...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
PILI; Jinsi Ninavyoanza Kutoa Huduma Za Udalali Wa Viwanja, Mashamba Na Majengo Makala iliyopita nilikushirikisha jinsi nitavyofanya endapo nitakosa fedha kwa ajili ya kununulia nyumba ya...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Nauza simu yangu aina ya samsung jean 2, gb 32 ina hali nzuri sana, bei laki moja na nusu (150000). Nipo iringa mjini kwa ambae yupo mkoani naweza kumtumia au anaweza kuagiza mtu ambae yupo Iringa...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
natafuta 34" - 37" curved monitor, ndani ya Tanzania bei na wapi nawaza pata? sio lazima brand niliyo attach hapa cc
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Heshima zenu wa kubwa, kwa wale wote wanaohitaji kununua content kwa shughuli zao karibuni yapo ya futi 40 na futi 20 karibuni sana.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom