Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza tv star x inchi 43 kwa bei tajwa.Tv hii ni smart kama unavyoiona na ipo Tegeta Dsm.Ni tv yangu halali,nilinunua dukani, ina box na vitu vyake vyote.risit ninayo. Maongezi kidogo yapo. Kwa...
1 Reactions
5 Replies
826 Views
Habari wana jamii forum. Naomba kupata msaada wa Mawasiliano ya mtu au kiwanda / agent yeyote anayeusika na utengenezaji wa materials za Box kama za kutengeneza cattons za sabuni ya mche. Mfano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAUZA SAFETY BOOT ZA MTUMBA sh 22,000 Size 41 Mahali:yombo-DSM Zipo vizuri, Ukihitaji picha au nirekodi video uone njoo WhatsApp Ukihitaji naweza kukuletea mahali ulipo, ndani ya Dar Simu no...
1 Reactions
0 Replies
892 Views
SIFA ZA MASHIMO HAYA; •Hayajai •Hutumia eneo dogo •Hayana harufu •Uwezo mkubwa wa kukabiliana na ardhi yenye maji •Hutumia vifaa vya kisasa katika ujenzi wake •Gharama za ujenzi ni nafuu •Vifaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jipatie PS4 used kwa miezi mitatu tu Ina Game 5. Bei 650,000 Ipo Mwanza Igoma stendi tu hapo 0767 733 555
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii forum wenzangu..Mimi nafanya kazi ya UWAKALA WA FORODHA BODA YA TUNDUMA…kama unamzigo wako uwe una toka TANZANIA kwenda nchi yoyote kupitia boda ya Tunduma au uwe unatoka nchi...
2 Reactions
54 Replies
7K Views
Tuko Ubungo maji Dar es salaam . Nicheki Kwa namba 0679903576
1 Reactions
2 Replies
842 Views
Habari. Nipo Arusha nahitaji friji ndogo sana ya kuweka chumbani. Kama unayo nicheki Kwa 0656388678
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu Kuna taa za nyuma za Toyota Harrier (chogo/tako la nyani) nimezipenda sana. Kwa Tz hapa naona bei juu sana kuna sehemu mil 1.2 kwingine hadi 1.6mil Mwenye uzoefu wa kuagiza naomba...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni. VIGEZO. 1.Gari iwe na dereva wake. 2.Dereva atalipwa na mwenye gari. 3.Tani 3. 4.Gari itakodiwa kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni. VIGEZO 1. Gari iwe na dereva wake. 2. Dereva atalipwa na mwenye gari. 3. Tani 3. 4. Gari itakodiwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni. VIGEZO. 1. Gari iwe na dereva wake. 2. Dereva atalipwa na mwenye gari. 3. Tani 3. 4. Gari itakodiwa...
0 Reactions
3 Replies
759 Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni. VIGEZO 1. Gari iwe na dereva wake. 2. Dereva atalipwa na mwenye gari. 3. Tani 1. 4. Gari...
1 Reactions
1 Replies
581 Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni. VIGEZO 1. Gari iwe na dereva wake. 2. Dereva atalipwa na mwenye gari. 3. Tani 3. 4. Gari itakodiwa...
2 Reactions
3 Replies
729 Views
Wapo Watoto 18 wa Nguruwe wa Kisasa wa Umri Kati ya Siku 30 - 60 Yaani umri wa Mwezi Mmoja - Miezi Miwili Kasoro. Wapo Majike 9 na Madume 9 Wote Wanauzwa Bei ya Mtoto mmoja wa Nguruwe wa...
2 Reactions
42 Replies
19K Views
Tunawakaribisha katika huduma yetu ya kuandaa company profile! Tupigie kupitia namba 0713659828/ 0746905773
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Pest Consult ni Kampuni iliyosajiriwa nchini Tanzania na kuruhusiwa kutoa huduma ya Fumigation/Kudhibiti Visumbufu (Pests). Kampuni yetu inauzoefu wa kutosha na huduma zetu zinatolewa Kwa misingi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Price yangu ni affordable na ya makubaliano. Nina Business Centric Approach, yenye lengo ya kuipush idea yako ifanikiwe kwenye market ikiwemo na ushauri wa bure jinsi gani inaweza fanikiwa...
3 Reactions
60 Replies
8K Views
Pest Consult ni Kampuni iliyosajiriwa nchini Tanzania na kuruhusiwa kutoa huduma ya Fumigation/Kudhibiti Visumbufu (Pests) na Magugu. Huduma zetu ni bora na zinatolewa kwa misingi ya kisayansi na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza, inahitajika nyumba kubwa ya kupanga ya familia yenye parking kuwe na usalama, kodi isizidi 300K kwa mwezi.
2 Reactions
2 Replies
722 Views
Back
Top Bottom