Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naombeni msaada ni njia gani cheap na salama naweza kutumia Kusafirisha vitu ya ndani kutoka Dar es salaam Hadi Songea!🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Na Bei za usafirishaji zipoje?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu , napatikana mjini USHIROMBO wilaya ya BUKOMBE, Tangu mwaka 2006 nimekuwa nikijihusisha na kazi hii ya ufundi wa madishi mpaka muda huu namudu kufanya kazi yoyote sio kufunga...
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Sizes :5kwa6,6kwa6,7kwa8 bei 25000tuu shuka 2 na foronya mbili Rangi zipo rangi mbalimbali Location : Dar es salaam ,Riverside karibuni mawasiliano :0657386021
0 Reactions
1 Replies
485 Views
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana . Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile...
1 Reactions
8 Replies
986 Views
Habari waungwana, Kuna Hiace nataka kununua ila haijawekewa seats za abiria zaidi ya seats za mbele. Je, gharama ya kuweka hizo seats za abiria kwenye hiace ni gharama kiasi gani? Sent using...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada - Wapi Dar napata mashine nzuri za kunyolea za WAHL?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani natafuta apple acid vinegAr inakouzwa hapa dar es salaam
0 Reactions
28 Replies
3K Views
[emoji345]OFAA OFAA ya machine za kutotoleshea vifarangaa kuanzia mayai 16 mpaka mayai 30000 Nk [emoji345]Baada ya kilio cha muda mrefuu kwa wafugaji na baadhii yao kukata tamaa na kushindwa...
1 Reactions
3 Replies
969 Views
Nipo na Infinix hot 12 play nmetumia mwezi tu na ina accessories zake zote had box,, Nahtaji Simu yenye iliyonyooka ya 32 GB alafu unaniongezea 50k Juu Nakuachia Simu,, Haina Shida Kabisaaa na...
0 Reactions
6 Replies
892 Views
Karibuni niwe wakala wenu, Nimefanikiwa kuhamisha pesa kutoka Sudani kuja Tanzania kwa njia ya mpesa. Sasa nitaweza kuhamisha pesa kutoka mahali popote Africa kwa haraka. Ahsanteni
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Nauza Airpods znazotumia Bluetooth na zinapiga mziki vizuri wala hazina changamoto yoyote ile pia zinakaa sana na chaji. Nicheki 0654506090 au WhatsApp me 0743546090. Karibu. Bei: 10,000 Nipo...
1 Reactions
18 Replies
743 Views
Baada ya uvumi wa mda mrefu sasa Kampuni ya TECNO tume wafikishia wateja wetu toleo letu la POP 7. Hivyo basi kwa Watanzania wote ambao wanataka kumiliki simu kali ya kijanja kwa bei poa kapisa...
6 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari wakuu? Karibu Oscar Outfits upate bidhaa za mavazi kama Mashati, Jeans, Sweet Pants, Boxers, Viatu vya kike/ Kiume, Saa, Mikoba, Cadets n.k kwa bei nafuu. Tafadhali wasiliana nasi kupitia...
3 Reactions
377 Replies
23K Views
habari wana jukwaa nauza vitabu vifuatavyo 1. business accounting 1 (11edition) 2. computing essentials 3. human and economic geograpgy. (advance level) 4. basic french (a course for beginners)...
0 Reactions
2 Replies
518 Views
Guru Planet conducts practical employment training with experts from various companies and organizations like auditing firms, banking institutions, insurance companies, NGOs and Authorities...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mzazi unakumbushwa kumleta mwanao pre form five tuition inaanza tarehe 28 january. Combie zitakazofundishwa PGM, PCB PCM NA CBG. walimu n mwl mkandawille 0747186460 Dr wazi 0758704781 mwl Bituro...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Chumba na sebule kinapangushwa tabata majichumvi vyumba ni vikubwa Bei 140k miezi minne anapokea vikubwa mnoo na vizuri mnoo dm ukihitaji.
0 Reactions
5 Replies
396 Views
Wakuu, Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi...
9 Reactions
55 Replies
6K Views
Karibu jariq investment. MRADI MPYA WA VIWANJA NAFUU JANUARY HII. BAGAMOYO-MSATA eneo linaloitwa Masugulu 🩸Umbali ni km3 toka masugulu center ambako ndiko inapita barabara kuu ya Bagamoyo -msata...
0 Reactions
1 Replies
622 Views
O-LEVEL SECONDARY SCHOOLS LESSON PLANS SUBJECTS AVAILABLE FOR YOU (WhatsApp 0752026992). O-LEVEL CHEMISTRY SECONDARY SCHOOL LESSON PLANS. O-LEVEL MATHEMATICS SECONDARY SCHOOL LESSON PLANS ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom