Samaritan Water Solution LTD ni wataalamu wa kuchimba visima kwa kutumia mitambo ya kisasa kabisa. Tunafanya survey kwa bei nafuu. Pia tunatengeneza machine za kuchujia maji kwa wale wenye visima...
Wana jf habari subwoofer yangu nauza
Inatumia Bluetooth, flash, memorycad
Pia kwa watu wenye sola wanaweza kutumia pia
Volume 98
Bei 95,000
Nipo Chanika dar es salaam
Mawasiliano
0623892902
Macbook pro 5.1
Hdd 350 GB
Ram 4 GB
Size 15 inch
Chaji mpaka masaa 3.
kIPENGELE.
Keyboard inastuck kwa hiyo natumia external keyboard ambayo ni wireless na ina mouse yake.
Kingine ina creck...
Hello ladies and gentlemens?
Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh)
Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei...
Je unateseka na kitambi sugu/manyama uzembe na umetumia dawa kadhaa na haijsaidia? Basi usihofu jiunge nasi saa 12:15 asubuhi pale mlimani city mall (geti la kuelekea Survey/Chuo Kikuu kwa ajili...
Habari wakuu
Natafuta appartment ya NHC kati kati ya mji kuanzia magomeni, Upanga, Mikocheni na maeneo yoyote jirani na Mjini
Piga 0713- 039 875 kama unafahamu utaratibu
Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 60,000 tu
*Screen (5.7 Inches)
*Battery (3020 mAh)
*RAM (1.00 GB)
*Storage (16.00 GB)
*3G/2G auto
Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali,
Jee Kuna Ukweli Kuwa in Tanzania, Mafuta ya Vituo vya Total, " They are The Best?. If Yes, How?!.
Juzi kati katika kusheherekea Sikukuu ya Wapendanao...
Stationery Inauzwa. Bei 2,500,000 (Hakuna Punguzo). Stationery Ipo Mwanza, Jirani na chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino. Stationery ipo katika eneo zuri sana na inawateja wengi sana. (Sababu za...
Kwa wale wanaohitaji kufaham kinagaibaga biashara ya madini kitabu hiki kitakupa mwanga wa wa kujua yafuatayo
1.Aina za madini na mahali yanapopatikana nchini Tanzania
2.Bei ya madini sokoni na...
Mifumo salama kwenye nyumba yako au ofisini kwako.
Gesi ya kupikia inahitaji kuwekewa mfumo salama kwa kufanya pipeline ambazo zitakwenda kwenye jiko au mahala inapohitajika gesi kutumika Tu...
Kiwanja nikizur Sana
Kinauzwa kipo kimara suka
Ukubwa ni mita 20 kwa 22
Kimepimwa na serikali yamtaa bado Hati. Bei milioni 👉 12 maongezi yapo
Usafili upo mwingi tu bajaji Tsh. 700...
Salaam ndugu zangu wana jf!
Nauza bata aina ya Muscovy na Pekin, jumla wapo 31. Kati yao majike ni 16 na madume 15. Ni wazuri na wana maumbo makubwa. Majike wote wanataga. Wanafaa kwa vyote as...
Kipo Kibaha kwa Mathias karibu na kambi ya jeshi nyumbu mtaa unaitwa mita 50, kimejengwa vyumba viwili na choo. Vyumba vimewekewa umeme tayari, maji pia yamefika maeneo hayo.
Kimepimwa kwa hatua...
Hi wakuu,
Kuna nagari kemkem,yapo kwenye hali nzuri na kiwango...
We niambie unataka gari gani na budget yako ni ngapi?Ntapost yaliyopo hapa
Karibu
Serious buyers only!
Tiririka hapa
Ama ujumbe PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.