Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Samaritan Water Solution LTD ni wataalamu wa kuchimba visima kwa kutumia mitambo ya kisasa kabisa. Tunafanya survey kwa bei nafuu. Pia tunatengeneza machine za kuchujia maji kwa wale wenye visima...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Wana jf habari subwoofer yangu nauza Inatumia Bluetooth, flash, memorycad Pia kwa watu wenye sola wanaweza kutumia pia Volume 98 Bei 95,000 Nipo Chanika dar es salaam Mawasiliano 0623892902
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Macbook pro 5.1 Hdd 350 GB Ram 4 GB Size 15 inch Chaji mpaka masaa 3. kIPENGELE. Keyboard inastuck kwa hiyo natumia external keyboard ambayo ni wireless na ina mouse yake. Kingine ina creck...
0 Reactions
6 Replies
839 Views
Hello ladies and gentlemens? Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh) Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei...
2 Reactions
6 Replies
972 Views
Je unateseka na kitambi sugu/manyama uzembe na umetumia dawa kadhaa na haijsaidia? Basi usihofu jiunge nasi saa 12:15 asubuhi pale mlimani city mall (geti la kuelekea Survey/Chuo Kikuu kwa ajili...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wakuu Natafuta appartment ya NHC kati kati ya mji kuanzia magomeni, Upanga, Mikocheni na maeneo yoyote jirani na Mjini Piga 0713- 039 875 kama unafahamu utaratibu
0 Reactions
3 Replies
618 Views
Habari za sasa wana jf? niko mwanza natafuta bidhaa hio kwa bei nzuri. nipo mwanza Igoma namba: 0744 033 555
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CONTAINER 20ft FOR SALE Container for sale, ni 20ft jipya kabisa na limeshakatwa. Lipo Goba Njia nne Bei 4.8m 0679300893
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 60,000 tu *Screen (5.7 Inches) *Battery (3020 mAh) *RAM (1.00 GB) *Storage (16.00 GB) *3G/2G auto Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na...
1 Reactions
0 Replies
958 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, Jee Kuna Ukweli Kuwa in Tanzania, Mafuta ya Vituo vya Total, " They are The Best?. If Yes, How?!. Juzi kati katika kusheherekea Sikukuu ya Wapendanao...
4 Reactions
53 Replies
14K Views
Stationery Inauzwa. Bei 2,500,000 (Hakuna Punguzo). Stationery Ipo Mwanza, Jirani na chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino. Stationery ipo katika eneo zuri sana na inawateja wengi sana. (Sababu za...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa wale wanaohitaji kufaham kinagaibaga biashara ya madini kitabu hiki kitakupa mwanga wa wa kujua yafuatayo 1.Aina za madini na mahali yanapopatikana nchini Tanzania 2.Bei ya madini sokoni na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mifumo salama kwenye nyumba yako au ofisini kwako. Gesi ya kupikia inahitaji kuwekewa mfumo salama kwa kufanya pipeline ambazo zitakwenda kwenye jiko au mahala inapohitajika gesi kutumika Tu...
2 Reactions
1 Replies
607 Views
Kiwanja nikizur Sana Kinauzwa kipo kimara suka Ukubwa ni mita 20 kwa 22 Kimepimwa na serikali yamtaa bado Hati. Bei milioni 👉 12 maongezi yapo Usafili upo mwingi tu bajaji Tsh. 700...
1 Reactions
0 Replies
901 Views
Habari za mchana wana jf, Naombeni kujuzwa bei ya mashamba kwa hekari, eneo lolote kati ya hayo!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam ndugu zangu wana jf! Nauza bata aina ya Muscovy na Pekin, jumla wapo 31. Kati yao majike ni 16 na madume 15. Ni wazuri na wana maumbo makubwa. Majike wote wanataga. Wanafaa kwa vyote as...
1 Reactions
1 Replies
884 Views
Elfu 40 kwa 70 tupo ubungo mawasiliano.
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Wakuu habarini za majukumu! Natafuta mother board ya hii Tv panasonic tafadhali naombeni msaada kwa mwenye kujua wapi naweza ipata 0683965391
0 Reactions
2 Replies
543 Views
Kipo Kibaha kwa Mathias karibu na kambi ya jeshi nyumbu mtaa unaitwa mita 50, kimejengwa vyumba viwili na choo. Vyumba vimewekewa umeme tayari, maji pia yamefika maeneo hayo. Kimepimwa kwa hatua...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi wakuu, Kuna nagari kemkem,yapo kwenye hali nzuri na kiwango... We niambie unataka gari gani na budget yako ni ngapi?Ntapost yaliyopo hapa Karibu Serious buyers only! Tiririka hapa Ama ujumbe PM
1 Reactions
163 Replies
13K Views
Back
Top Bottom