Young_Billionaire
Member
- Aug 6, 2017
- 26
- 22
Karibuni wakuu kama bango linavosomeka nanunua coin za sh 200 kwa sh 220 ukiwa nazo nyingi nyingi kama kuanzia laki moja itakua vizuri zaidi. Nicheki 0654867115
[emoji23][emoji23]Sasa iyo 220 hapa fanya hivi katika ela yako tako iyoa 220-20= 200 hapo utabaki na coin zako tu.......
.....
unataka kusema nini mkuu?Sasa iyo 220 hapa fanya hivi katika ela yako tako iyoa 220-20= 200 hapo utabaki na coin zako tu.......
.....
Sasa si uzunguke kuomba chenchi tu ya Hela uliyo nayo.. au nenda kwenye dubwi ununue coin kama token, unacheza kidogo zingine unatembea nazoKaribuni wakuu kama bango linavosomeka nanunua coin za sh 200 kwa sh 220 ukiwa nazo nyingi nyingi kama kuanzia laki moja itakua vizuri zaidi. Nicheki 0654867115View attachment 2565234
"Tako" simu za kupangusa ni hatariSasa iyo 220 hapa fanya hivi katika ela yako tako iyoa 220-20= 200 hapo utabaki na coin zako tu.......
.....
Unazo nn