projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 484
Habari zenu, kichwa cha habari hapo juu, kinajieleza. Kiwanja ni cha kwangu, hakina udalali.
Kiwanja kina sifa zifuatazo
1. Hatua 25 kwa 20
2. Umeme na maji vimepita hapo hapo mpakani, utavuta umeme, bila nguzo.
3. Kiwanja hakipo bondeni wala mlimani, kipo juu, tambalale
4. Kiwanja hakipo mbali na usafiri kama pikipiki au bajaji, zinazoenda mbezi au kinyerezi, nauri buku
5. Kiwanja kina miti ya matunda na kivuli
6. Mipaka imekaa vizuri kwa bikoni
7. Kiwanja kimepimwa kwa hatua za awali, kinatambulika na serikali za mitaa
8. Usafiri unafika na hakipo mbali na barabara ya tanroad ya vumbi, inayotoka malamba ni usawa wa mita 300 au nyumba ya nne kufika barabarani
9. Kwenda barabara ya rami unaweza kutembea ukitokea kituo kinaitwa kwa rechard au soweto park lounge
10. Nyumba za kupanga zinaumiza, anza kuja kwako
Bei ya kiwanja ni fixed 7.600,000/=
Piga simu 0693300971
Kiwanja kina sifa zifuatazo
1. Hatua 25 kwa 20
2. Umeme na maji vimepita hapo hapo mpakani, utavuta umeme, bila nguzo.
3. Kiwanja hakipo bondeni wala mlimani, kipo juu, tambalale
4. Kiwanja hakipo mbali na usafiri kama pikipiki au bajaji, zinazoenda mbezi au kinyerezi, nauri buku
5. Kiwanja kina miti ya matunda na kivuli
6. Mipaka imekaa vizuri kwa bikoni
7. Kiwanja kimepimwa kwa hatua za awali, kinatambulika na serikali za mitaa
8. Usafiri unafika na hakipo mbali na barabara ya tanroad ya vumbi, inayotoka malamba ni usawa wa mita 300 au nyumba ya nne kufika barabarani
9. Kwenda barabara ya rami unaweza kutembea ukitokea kituo kinaitwa kwa rechard au soweto park lounge
10. Nyumba za kupanga zinaumiza, anza kuja kwako
Bei ya kiwanja ni fixed 7.600,000/=
Piga simu 0693300971