Jamani ndugu zangu nauza shamba la miti lipo Mufindi uchindile ekali 111 na ktk hizo zimepandwa ekari zaidi ya 30 miti ya mlingoti ambayo inakua kwa muda mfupi ndani ya miaka 7 unavuna, unaweza kuuza kama nguzo, au kupeleka kwenye viwanda, au kiwanda kuja kununua hiyo miti, na pia kuuza kwa ajili ya mbao pia bila kusahau mrunda shamba hili lipo sehemu nzuri bei yake kwa kila eka pamoja na zilizo pandwa ni 130000, maongezi yapo pia, mimi ni mhusika wa shamba hilo ukihitaji waspu no 0782715550, miti ina mwaka mmoja eka zaidi ya 30 View attachment 2555537View attachment 2555536