Kuna project iko nauza screpa za aina mbali mbali.
Circuit za server na RRU za minara
Cast Iron
Chuma
Aluminum
Brass
Iron
Fiber
Plastic
Taja Bei Tutirike @1kg
Kwa maelezo zaidi piga simu...
ENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO...
S.A Link Traders Ltd ni kampuni iliyopata leseni na TRA ya kutoa mizigo bandarini, viwanjani na mipakani (borders), yaani freight clearing and forwarding. Karibuni mtuletee kazi za kugomboa...
Mahala biashara ilipo ni jambo la kujulikana kwa kila Mteja. Biashara kama
1. Mgahawa
2. Car Wash
3. Shule.
4. Hospital.
5. Lodge/Hotel
6. Garage
Kupitia Google Maps unaweza kufikika kirahisi...
HEATER ZA JOTO KWAJILI YA KULEA VIFARANGA
[emoji2788]Ni kawaida yetu kila jumapili kutoa OFAA Mbali mbali kwa wateja wetu juu ya Bidhaa zetu lengo ni kukuza tasnia ya ufugaji Tanzania [emoji1241]...
NYUMBA INAUZWA
Milioni 45 tu(45,000,000/-)
Ilipo kibaha picha ya ndege. Kilomita moja kutoka main road.
ENEO UKUBWA 20*25
VYUMBA VITATU
KIMOJA MASTER
SEBULE KUBWA
JIKO LA NDANI
Nyumba ni nzuri...
Punguza gharama za ujenzi kwa kununua vifaa vya bomba kwa bei ya jumla jumla.
IPS, PPR, GS, PVC
Gutter
Karibu
Gerezani, kariakoo
Whatsapp +255 669 494650
Ukiitaji bei njoo whatsap au fika dukani...
Kama heading inavosema hapo juu wakuu Nina mtu anahitaji vanilla kiasi chochote na kwa bei tajwa hapo juu,
Mawasiliano piga 0746021481
Hata Leo uwezekano ukiwepo tunaanza safari ya Kuja kucheki...
Electric OVEN PMC (imetumika miezi miwili) with 2 hot plates (ina majiko mawili hapo juu)..
ni 48 Litres kwa tsh 195k.
inachoma, kuoka na kupasha.
inapatikana dar - kimara.
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.
Nimeezeka vyumba 2 na...
Prado machozi for sale
Bei Mil 90
Engine 2tr
Petrol
Automatic
Location Dar es salaam
Gari mpya sana haijarudiwa rangi kokote
Pigs simu ukaone Gari kwa serious buyer ukaongee nae
0714787795
Jamani naomba anayejua mtu huyu alipo anisaidie kumpata. Anaitwa Mr Carlos Sendwa, alisoma PCB sekondari ya Pugu STream G 1980-82. Wakati huo mimi nilikuwa PCB stream F, mwenyeji wa Mbeya. Wazazi...
Ndugu habari zenu.
tumeamua kuwasaidia watanzania hasa kwa wale wafanyabiashara wakubwa, wadogo pamoja na wajasiriamali. Kumekuwa na malamiko mengi sana kwa Watanzania kuhusu makadirio ya kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.