Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za leo wakuu Mimi ni kijana mkazi wa Dar es salaam. Nimekuwa nikiwasaidia wafanyabiashara waliopo mbali na Dar es salaam katika kuwanunulia bidhaa kwenye maduka ya jumla yaliopo hapa Dar...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mo graphics studio tunaendelea kutoa huduma kwa wateja wetu Kama ifuatavyo. Tuna design mabango ya biashara(Banners) mbali mbali kwa gharama ya 20k. Tuna design stickers kwa ajili ya ku brand...
3 Reactions
159 Replies
13K Views
Wakuu habari, Kama kichwa cha habari kinavosema. Kuna wale watu humu ndani ambao wana mali zao na vitu vyao wangependa kuuza ili wabadirishe wanunue vingine, au wangependa kuuza ili waviondoe tu...
8 Reactions
53 Replies
2K Views
Habari Wana JF, Natafuta Indoor shoes kwa ajili ya biashara kuanzia piece 50 na kuendelea. Naomba bei ya jumla. N:B Ziwe quality nzuri au zifanane na picha zilizoambatanishwa hapa. Cont...
1 Reactions
3 Replies
709 Views
Greetings, We would like to take opportunity to invite interested persons for the disposal of above items in our yard, please for more details and pictures contact the following number...
0 Reactions
4 Replies
502 Views
Habari za usiku nahitaji redio used ya gari wana jf kwa bei ya kitanzania nipo arusha mjini hapa ela ipo mfuko wa shati
0 Reactions
1 Replies
591 Views
Nahitaji vioo vya gari used yaani vilivyotolewa kwenye magari na visivyotumika tena, viwe vyeupe(plain) yaani visiwe tinted white kwa bei used ya uchumi wa kati. Kama kuna mtu ana connection ya...
0 Reactions
3 Replies
836 Views
Tangazo: Habari za leo wateja wetu wapendwa, Tunapenda kuwatangazia huduma zetu za ushauri wa kodi. Kama mmiliki wa biashara au mtu binafsi, tunaelewa ugumu wa kuendesha shughuli zako za kila...
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Fundi wa rangi pamoja na material mbali mbali tuite sasa tuongeze thamani ya nyumba yako kwakupaka rangi nzur zenye ubola wa kisasa tupigie kwa mawasiliano namba 0718884670
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo, zipo njia tofauti tofauti ambazo mtu anaweza kuzitumia kutengeneza kipato endelevu kwa ajili ya kustaafu. Lakini njia ambayo ina matokeo bora sana ni ile ya...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza kiwanja changu Chalinze mjini bei milioni mbili na nusu kipo kudiyembe umeme hauitaji jengo nikuvuta waya tu ukubwa wa kiwanja 20*19 mawasiliano 0656660026.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii ofa sio ya kukupita karibu ujipatie Sharp Aquos Zero (Japan Brand) ni mtumba kutoka USA kwa ofa ya 275,000 Tu, hii unapta simu pamoja na USB- Type C charger. 0764081567 Free delivery...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Je; 1. Umejenga mfumo wa kizamani ila unataka kuubadili kuwa wa kisasa na wa kuvutia zaidi? (Mfano; Nyumba ya chini kuwa ghorofa, Nyumba za paa za kuonekana kuwa za kujificha) 2. Unataka...
2 Reactions
2 Replies
726 Views
Nauza printer ya HP 1515 BEI TSH 40,000 IPO VIZURI Adapter yake haipo 0658 106 630
0 Reactions
1 Replies
541 Views
[emoji230] Nauza Shamba Ekari 1500 [emoji424] Lilikuwa linatumika Kwa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa(linafaa pia kuweka ranch ya mifugo) [emoji2515] LINA NYUMBA ZA MAKAZI yenye vyumba 4...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini waungwana Poleni na majukumu ya kazi na matumizi ya pas aka. Naomba kujua bei za mazao kwenye masoko ya Dar. kwa gunia la kilo 100 1. Mahindi 2. Michele 3. Maharage Au nikapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamii formula NIKUSUBHILA CLEARING AND FORWARDING COMPANY ni kampunu mpya tumefungua kwajili ya ku-clear mizigo aina zote. Bei yetu ni nafuu sana. Clearance ya IT ni dollar 50 tu (50$)...
0 Reactions
2 Replies
736 Views
Habari, Maelezo ya gari yapo kwenye picha za gari na kadi yake. Bei ni 5.6 million. Gari ipo Arusha. Mawasiliano 0656388678
0 Reactions
7 Replies
839 Views
Nauza gari yangu nissan murano 2004, haina changamoto yoyote, 8.5M nina dharula.
2 Reactions
0 Replies
672 Views
Back
Top Bottom