Habari za leo wakuu
Mimi ni kijana mkazi wa Dar es salaam. Nimekuwa nikiwasaidia wafanyabiashara waliopo mbali na Dar es salaam katika kuwanunulia bidhaa kwenye maduka ya jumla yaliopo hapa Dar...
Mo graphics studio tunaendelea kutoa huduma kwa wateja wetu Kama ifuatavyo.
Tuna design mabango ya biashara(Banners) mbali mbali kwa gharama ya 20k.
Tuna design stickers kwa ajili ya ku brand...
Wakuu habari,
Kama kichwa cha habari kinavosema. Kuna wale watu humu ndani ambao wana mali zao na vitu vyao wangependa kuuza ili wabadirishe wanunue vingine, au wangependa kuuza ili waviondoe tu...
Habari Wana JF, Natafuta Indoor shoes kwa ajili ya biashara kuanzia piece 50 na kuendelea. Naomba bei ya jumla.
N:B Ziwe quality nzuri au zifanane na picha zilizoambatanishwa hapa.
Cont...
Greetings,
We would like to take opportunity to invite interested persons for the disposal of above items in our yard, please for more details and pictures contact the following number...
Nahitaji vioo vya gari used yaani vilivyotolewa kwenye magari na visivyotumika tena, viwe vyeupe(plain) yaani visiwe tinted white kwa bei used ya uchumi wa kati.
Kama kuna mtu ana connection ya...
Tangazo:
Habari za leo wateja wetu wapendwa,
Tunapenda kuwatangazia huduma zetu za ushauri wa kodi. Kama mmiliki wa biashara au mtu binafsi, tunaelewa ugumu wa kuendesha shughuli zako za kila...
Fundi wa rangi pamoja na material mbali mbali tuite sasa tuongeze thamani ya nyumba yako kwakupaka rangi nzur zenye ubola wa kisasa tupigie kwa mawasiliano namba 0718884670
Kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo, zipo njia tofauti tofauti ambazo mtu anaweza kuzitumia kutengeneza kipato endelevu kwa ajili ya kustaafu. Lakini njia ambayo ina matokeo bora sana ni ile ya...
Nauza kiwanja changu Chalinze mjini bei milioni mbili na nusu kipo kudiyembe umeme hauitaji jengo nikuvuta waya tu ukubwa wa kiwanja 20*19 mawasiliano 0656660026.
Hii ofa sio ya kukupita karibu ujipatie Sharp Aquos Zero (Japan Brand) ni mtumba kutoka USA kwa ofa ya 275,000 Tu, hii unapta simu pamoja na USB- Type C charger.
0764081567
Free delivery...
Je;
1. Umejenga mfumo wa kizamani ila unataka kuubadili kuwa wa kisasa na wa kuvutia zaidi? (Mfano; Nyumba ya chini kuwa ghorofa, Nyumba za paa za kuonekana kuwa za kujificha)
2. Unataka...
[emoji230] Nauza Shamba Ekari 1500
[emoji424] Lilikuwa linatumika Kwa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa(linafaa pia kuweka ranch ya mifugo)
[emoji2515] LINA NYUMBA ZA MAKAZI yenye vyumba 4...
Habarini waungwana
Poleni na majukumu ya kazi na matumizi ya pas aka.
Naomba kujua bei za mazao kwenye masoko ya Dar. kwa gunia la kilo 100
1. Mahindi
2. Michele
3. Maharage
Au nikapata...
Habari wanajamii formula
NIKUSUBHILA CLEARING AND FORWARDING COMPANY ni kampunu mpya tumefungua kwajili ya ku-clear mizigo aina zote. Bei yetu ni nafuu sana. Clearance ya IT ni dollar 50 tu (50$)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.