Wateja wako wanajua ulipo?

Wateja wako wanajua ulipo?

Diwani

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2014
Posts
2,884
Reaction score
3,114
Mahala biashara ilipo ni jambo la kujulikana kwa kila Mteja. Biashara kama
1. Mgahawa
2. Car Wash
3. Shule.
4. Hospital.
5. Lodge/Hotel
6. Garage

Kupitia Google Maps unaweza kufikika kirahisi. Naweza kukuhudumia kwa gharama ya Shilingi 10,000 tu.

Karibu
0743123946
FB_IMG_1680941532351.jpg
 
Google map si unajisajili tu jamani?

Au ni Kama wale waliokua wanasajilia watu WhatsApp na Facebook
 
Back
Top Bottom