Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sina shaka na huduma za kitaalamu za Mwl.RCT. He is best compared to others. Maana nilinunua king'amuzi cha Best HD4U kwa mtu flani hata kujua account imebakiza muda gani alininyima elimu hiyo...
7 Reactions
1K Replies
220K Views
Habari' KWA WAWEKEZAJI, MAABARA YA AFYA/ MEDICAL LABORATORY Inauzwa. Imekamilika kila kitu. Umeme wa Tanesco na sola poa ipo Haina shida yoyote. Mil.7 kwa mil. 11.5 Tayari ina kodi ya Miaka 6...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
HP pavilion 360° RAM 4GB ROM 128GB Kwa specifications zaidi angalia pics mapungufu iliyonayo :- 1.Betri aidumu na chaji 2.Screen imecrack kidogo hivyo screentouch haifanyi kazi eneo hilo...
0 Reactions
15 Replies
801 Views
Bahati ya kununua kiwanja/nyumba kwa bei nafuu sana imejengwa kwenye kanuni maalumu. Kwa kanuni hiyo ni lazima uweke juhudi kubwa. Juhudi kubwa ndiyo ndugu wa bahati ya kununua kiwanja au nyumba...
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Hili dude nilikuwa naweza kupikia kila kitu kasoro UGALI TU. KWA SABABU UGALI unahusisha kusonga. Wakati niko single. Lipo sokoni kwa sasa sina matumizi nalo... NIMEOA. VERY STRONG. BEI KITONGA...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Hello waungwa nauza Fiat yangu ya kubebea mchanga Iko kwa Mrombo ARUSHA . Iko vizuri sana Ni kuwasha na kwenda Korongoni . Sababu za kuuza ni madereva wananizingua . Bei ni milioni 15 maongezi yapo
1 Reactions
4 Replies
644 Views
Ukumbi mpya wa KIMATAIFA Upo Masaki Dar wa mikutano na matamasha unaitwa The super dome una kila kitu ndani yake Fixed sound system LED Screen Stage Fixed Lights Fixed Camera Tables and...
1 Reactions
0 Replies
797 Views
Sabato njema! Ni HP, HDD ni 500GB, CPU ni 2.4 GHZ, RAM ni 8GB. NB: Haina tatizo lolote isipokuwa battery yake haikai na chaji zaidi ya dk 30. Location ni DSM. Nataka niongeze hela ninunue mpya...
0 Reactions
7 Replies
570 Views
Asking Price 150,000
0 Reactions
2 Replies
549 Views
Kina ukubwa wa sqm 1566 kipo karibu na magorofa ya NSSF kimepimwa tayari hati inatoka moja kwa moja kwa jina lako huitaji transfer Bei ml 20 kipo mita 150 toka lami ilipo nicheki 0713672719/0787672719
3 Reactions
182 Replies
21K Views
Iwe mkoa wa arusha au moshi kama ipo mawasiliano kupitia namba 0763506458
1 Reactions
6 Replies
488 Views
Habari wana jukwaa! TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi Nauza kiwanja changu kipo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:- 64GB storage 4GB ram 6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana 13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habar Naomba kufahamishwa location morogoro mjini Duka la Viatu quality Na Duka la saa za mkononi original Example [emoji116] Asanteni.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
PATA SCREEN MAGNIFIER ++KUZA UKUBWA WA SCREEN KATIKA SIMU YAKO +JIKINGE DHIDI YA MIONZI INAYOUMIZA MACHO YAKO WAKATI UNAPOTAZAMA MOVIE KATIKA SIMU YAKO Ukubwa wake 19cm*12cm Free delivery ndani...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Ukaguzi wa nyumba ni sehemu muhimu sana kwenye mchakato wa kununua kiwanja au kununua nyumba. Fomu ya ukaguzi wa kiwanja au nyumba inatakiwa kuwa na vipengele vifuatavyo;- ✓ Taarifa za nakala za...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
karibu kwa nguo za kike short dress na magauni bei chee 7k. Namba 0787616723 whstpp
0 Reactions
2 Replies
572 Views
Nazitafuta sana sizipati hizi mwanandani za wanaume.Ni za Uturuki.Mwenye kujua please.
0 Reactions
3 Replies
711 Views
Kiwanja kizuri sana Kina huduma zote Maji Umeme Barabara Kipo nyuma ya shule ya msingi twende pamoja Jirani na gereza la mahabusu kibaha (sofu) Kina ukubwa wa mt 20 kwa 25 Barabara ipo mpaka...
0 Reactions
1 Replies
496 Views
Iwe namba 'd' Mwenye nayo anidm pesa mfuko wa shati iwe dar es salaam tu
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom