kabagambe rubajuma
Member
- Oct 14, 2017
- 84
- 51
Wakuu hii ni maalum kwa mtu ambaye atakuwa anahitaji kutuma mzigo kutoka China kuja Tanzani, nipo hapa kwaajili ya kutoa huduma hiyo.
Mzigo wako boss ulikuwa wa aina gani? Na ulikuwa muda gani?Nilisha wahi kuagiza mzigo kutoka china kuja dar kwa ndege kupitia hiyo kampuni kweli mzigo ulifika salama lakini ulichukua miezi miwili kufika na kwenye customer care sio kabisa.
Kwa Air cargo kaka uliza we are the best mzee, fuatilia na mzigo wa wako ndani ya week moja umekuwa umefikaUkiona hivyo hawa jamaa ndo wameanza hii biashara..
Na ndo wanajifunza changamoto za kazi
Unaagizia mzigo wa kuanzia Milion Ngap...?Kwa Air cargo kaka uliza we are the best mzee, fuatilia na mzigo wa wako ndani ya week moja umekuwa umefika
Kg kaka ni 12.5kg usdRates zenu zipoje?
Mnacharge
Kwa CBM au kgs?
Tuna chaji kwa kilo ni usd 12.5 kwa kg1, Ofisi zipo Dar es salam Kariakoo mtaa wa Nyamwezi na Rufiji, Mwanza Mtaa wa lumumba opposite na mchapakazi, kwa zaidi call or whatsapp 0655134448Weka mahali ofisi ilipo,mtaa,Jina,namba za Simu,email.pia weka wastani wa gharama na michanganuo mingine.
Kuagiza mzigo boss ni uwezo wako inategemea na wewe una agiza bidhaa ya aina ganiUnaagizia mzigo wa kuanzia Milion Ngap...?
Huwa tuna chaji kwa kilo, kilo moja usd 12.5 bossTupe cost zinavyokwenda