kuna lady 1 anauza gari yake so kaniomba niiweke hapa kama kutakuwa na mwenye interest nayo then wafanye biashara.
details
white toyota RAUM 2000 year of manufacture
1450 CC
85,000 km
options...
Wanajamii salamu!! naomba msaada wa taarifa. Ningependa kufahamu shule ambayo ina hostel au boarding school ambayo fee yake kwa mwaka is around TZS 1.5million.
Hii shule iwe good academically in...
Heri ya mwaka mpya wana JF wooote!
Wakuu natafuta Toyota Hiace Dungu (2L Engine) bajeti yangu ni finyu (M.7) lakini najua ndani ya JF hakishindikani kitu.
Naomba kisiwe kimeo sana maana...
Kuna rafiki yangu anatafuta nyumba ya vyumba viwili, sebule iwe master na jiko lake iwe na parking na gate maeneo ya kijitonyama. tuwasiliane kwa namba 0712 202320
A recently redeveloped modern property of four
bedrooms located in Ununio is available for rent.It is fenced . Decent and safe Neighbourhood. Ununio Beach is next to Bahari Beach. The House is...
Habarini wandugu.Nilibahatika kununua site hapo Kimara Kilungule na sasa imenishinda kwani nimepata mawazo ya kutafuta makazi Kigamboni na ninaiuza kwa yeyote aliye tayari.Ina ukubwa wa mita 20...
We are 34 days before the meeting of FODEM takes place.
What is FOSDEM?
FOSDEM is a free and non-commercial event organized by the community for the community. The goal is to provide Free...
A recently redeveloped modern property of four
bedrooms located in Ununio is available for rent.It is fenced . Decent and safe Neighbourhood. Ununio Beach is next to Bahari Beach. The House is...
Muda si mrefu mwanamziki wa Msondo Ngoma Josee Maina amefariki dunia ndani ya daladala alikuwa akienda kurecord Sinza.
Poleni ndugu wa marehemu pamoja na mashabiki wa Msondo Ngoma.
More news to...
Salaam sana
Tafadhili kama kuna mtu anayeweza kusaidia jinsi ya kudownload computer ant-virus au duka ambao naweza kununua kwa hapa Dar es salaam
Tafadhali naomba unisaidie.
Nyumba inahitajika haraka Tabata bima.
Kodi laki 150000 hadi 300000 kwa mwezi iwe na:-
uzio na paking.
mbali na baa.
barabara inayopitika kirahisi.
Natanguliza ahsante kwenu wana JF.
Ndugu zangu mimi nimeletewa zawadi ya simu na ndugu yangu anaeishi Denmark aina ya Samsung i780. Lugha iliyowekwa mle ndani ni Danish. Nimejaribu kubadilisha to English simu inakataa. Inaelekea...
Wana JF nasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu, mwanaharakati wa utunzaji misitu Ndg. Corodius Thomas Sawe kilichotokea usiku wa kuamkia jana pale Morogoro.
Kwa wasiomfahamu alikuwa ni Afisa...
Kwa mwenye ufahamu wa bei na ubora wa vifuatavyo,atoe maoni yake
1.Tiles
Naomba bei za good Quality tiles.porcelain,ceramic all good.nahitaji za sakafuni,bafuni na jikoni.
2.Gypsum for ceiling...
Nimetafuta kariakoo kote tyre za gari aina ya suzuki R wagon sikupata,size yake ni 165/55R14, nimepata ambazo kubwa zinagusa body, kuna jamaa wameniambia nikanyanyue bodi ya gari ili niweke hizo...
German Shepherds
wana jamii nimeona tangazo la mbwa nikakumbuka kuwa nilikuwa natafuta Mbwa kwa mda mrefu sana kwa ajili ya ulinzi wa nyumba wakati nipo kazini BILA MAFANIKIO.
NAPENDELEA ZAIDI...