2000 raum for sale

dullymo

Senior Member
Aug 21, 2009
105
5
kuna lady 1 anauza gari yake so kaniomba niiweke hapa kama kutakuwa na mwenye interest nayo then wafanye biashara.

details
white toyota RAUM 2000 year of manufacture
1450 CC
85,000 km

options
double air bag, radio, ABS, power windows, power steering, power mirrors, AC, Anti-Lock Brakes, Premium Sound, good condition. veeerryyyy economic. inafaa kwa kijana.

imeingia hapa direct kutoka japan mwezi wa 9.
imesajiliwa kila kitu na ameitumia kama miezi miwili hivi. anaiuza kwa sababu ameletewa gari nyingine so hawezi kumaintain gari mbili kwa wakati mmoja.

bei ni TSH 7,300,000/

ukitaka kuiona na maelezo mengine pls nikol katika
0713 - 744 144
0776 - 744 144.
 

Attachments

  • 01.jpg
    01.jpg
    30.3 KB · Views: 100
  • 04.jpg
    04.jpg
    38.1 KB · Views: 97
kuna lady 1 anauza gari yake so kaniomba niiweke hapa kama kutakuwa na mwenye interest nayo then wafanye biashara.

details
white toyota RAUM 2000 year of manufacture
1450 CC
85,000 km

options
double air bag, radio, ABS, power windows, power steering, power mirrors, AC, Anti-Lock Brakes, Premium Sound, good condition. veeerryyyy economic. inafaa kwa kijana.

imeingia hapa direct kutoka japan mwezi wa 9.
imesajiliwa kila kitu na ameitumia kama miezi miwili hivi. anaiuza kwa sababu ameletewa gari nyingine so hawezi kumaintain gari mbili kwa wakati mmoja.

bei ni TSH 7,300,000/

ukitaka kuiona na maelezo mengine pls nikol katika
0713 - 744 144
0776 - 744 144.
bei nzuri sana!ai mean REASONABLE PRICE
 
. anaiuza kwa sababu ameletewa gari nyingine so hawezi kumaintain gari mbili kwa wakati mmoja.

.

Kuna haja ya kutoa sababu? Does it influence the price/quality of the car (does it add any value)?
 
Kuna haja ya kutoa sababu? Does it influence the price/quality of the car (does it add any value)?
wabongo bwana!!!
mtu asipoweka sababu ya gari kuuzwa mnafikiria mbovu, akiweka mnaongea vitu ili mradi tu muongee. dully mo upo sawa bro mie sioni kama umefanya vibaya kutoa sababu ya kuuzwa hiyo gari.
bei pia ni nzuri
 
Lakini mbona kama picha zimenyofolewa kutoka kwenye zile website za kijapani? Au ni mimi tu. hebu tuione hivi sasa baada ya kupitapita sana pale mtoni mtongani.
 
Lakini mbona kama picha zimenyofolewa kutoka kwenye zile website za kijapani? Au ni mimi tu. hebu tuione hivi sasa baada ya kupitapita sana pale mtoni mtongani.
haha mzee utakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia wangu. kama upo interest njoo uione mashine kisha ndo utaamini mweyewe kwa macho yako.
 
inamilikiwa na raia gani...? manake kama ni mwarabu sidhani kama kuna mtu atainunua...labda mwarabu mwenzake...

hata ikinunuliwa inabidi ifanyiwe maombi ya nguvu...usije kuwa unatolewa kafara bure...!
 
inamilikiwa na raia gani...? manake kama ni mwarabu sidhani kama kuna mtu atainunua...labda mwarabu mwenzake...

hata ikinunuliwa inabidi ifanyiwe maombi ya nguvu...usije kuwa unatolewa kafara bure...!
Dah hii imenishtua sana....Inabidi niwe muangalifu kuanzia sasa.
 
Dah hii imenishtua sana....Inabidi niwe muangalifu kuanzia sasa.

Kaka haya mambo yapo sana mjini hapa...unanua gari kumbe umenunua majini kazi inaanza pale yanapotaka kunyonya damu...sitasahau yaliyomkuta best'angu so chungeni sana...hawa wenzetu wanaamini sana haya makitu so unakuta wakinunua kitu chochote kama gari wanafukizia kwanza sasa inaweza kuwa si lengo lao yakukute au ikawa ni lengo lao, unakuta kila siku unakoswa koswa barabarani yani haipiti siku unanusurika tena ikifika hatua hiyo jua kuna damu inatafutwa hapo.....

ni mungu tu ndo mwenye uwezo wa kukuonyesha hayo mambo
 
Kaka haya mambo yapo sana mjini hapa...unanua gari kumbe umenunua majini kazi inaanza pale yanapotaka kunyonya damu...sitasahau yaliyomkuta best'angu so chungeni sana...hawa wenzetu wanaamini sana haya makitu so unakuta wakinunua kitu chochote kama gari wanafukizia kwanza sasa inaweza kuwa si lengo lao yakukute au ikawa ni lengo lao, unakuta kila siku unakoswa koswa barabarani yani haipiti siku unanusurika tena ikifika hatua hiyo jua kuna damu inatafutwa hapo.....

ni mungu tu ndo mwenye uwezo wa kukuonyesha hayo mambo
Nakushauri uache kununua na mafuta maana yanatoka kwao otherwise utanyonywa damu. Kwa dhana hizi sijui km tutafika. Hv ukitaka kununua unaangalia km mwarabu ndio anauza? Magari mangapi dar yanatoka Arabuni?
 
Kaka haya mambo yapo sana mjini hapa...unanua gari kumbe umenunua majini kazi inaanza pale yanapotaka kunyonya damu...sitasahau yaliyomkuta best'angu so chungeni sana...hawa wenzetu wanaamini sana haya makitu so unakuta wakinunua kitu chochote kama gari wanafukizia kwanza sasa inaweza kuwa si lengo lao yakukute au ikawa ni lengo lao, unakuta kila siku unakoswa koswa barabarani yani haipiti siku unanusurika tena ikifika hatua hiyo jua kuna damu inatafutwa hapo.....

ni mungu tu ndo mwenye uwezo wa kukuonyesha hayo mambo

duh ebwana maneno yako mbona yamenistua?

sie wabongo kweli tupo dunia ya tatu ila kw amaneno yako nadhani wewe upo dunia ya 30 kabisaaa. uchawi upo popote ndugu yangu, hivi kule sumbawanga ni mkoa wa waarabu? tc
 
duh ebwana maneno yako mbona yamenistua?

sie wabongo kweli tupo dunia ya tatu ila kw amaneno yako nadhani wewe upo dunia ya 30 kabisaaa. uchawi upo popote ndugu yangu, hivi kule sumbawanga ni mkoa wa waarabu? tc

Nami nilikua mara 30 yako kaka...nilikataa hivyohivyo.....! sishangai...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom