Monday, July 27, 2009 5:46 AM
Mwanaume mmoja wa nchini Australia amehukumiwa kwenda jela miaka minne baada ya kuichoma moto nyumba yake huku mkewe na watoto wake wakiwa...
Habari za leo Wanajamii,
Je Kuna mtu ambaye ana experience na VIDEO SURVEILLANCE SYSTEMS ?
Kama yupo, Kuna maswali mawili naomba anielimishe.
1. Bei ya soko (kununua na kuinstall A 4-camera...
Wana JF,Waheshimiwa wabunge walisema wamepunguza siku za vikao,ili kupunguza matumi ya pesa ya walipa kodi sasa kwa nini wanapo ongeza siku wasisamehe hiyo posho kama kweli hawataki kuvuja sana...
Nina ndugu yangu ambaye ameuza gari yake aina ya Mitshubishi Pajero io, ni mkazi wa Dar na anafanya kazi Ilala (karibu na uwanja wa karume) kwa maelezo yake anasema itachukua muda kidogo ili...
Wana JF.juzi Jumapili ya Tarehe 20/7/09.Kupitia ITV niliona Mpambano wa ngumi kati ya jamaa mmoja mnene kidogo kutoka Zanziba na mpinzani wake kutoka Bara,Ilisemekana kuwa wale mabondia ni...
MWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina la Pendo Kimaro [21] amejinyonga kwa kutumia kitambaa cha kujitanda kichwani [mtandio] baada ya hasira ya kugombana na mumewe...
Wana JF,wizara ya kilimo ndio hiyooooooooo sijui tutegemee nini,mi ninacho ona watanzania tunajua kutengeneza Majina mazuri,hicho kilimo kwanza kitakuwepo kweli au maneno.hebu semeni juu ya hili.
Wadau heshima mbele!mimi ni mteja wa TIGO wa long time!sasa nina tatizo kuna hizi mesej zao za promotion,kuna kijana wangu ali subscribe sasa zimekua kero kila siku zinakuja 5 na kila moja ni Tshs...
Mkuu Invisible na wataalam wengine wa IT
Nimekuwa napigana vita na PC yangu kwa muda sasa na nataka kuweka security kubwa zaidi maana nimechoka na attacks za kila mara.
Mwanzoni nilikua...
Kwa mliopo mjini nadhani mnafahamu kuhusu msiba uliomkumba huyu balozi wetu wa bintiye na kwa taarifa tu ni kuwa mazishi yamefanyika leo leo...inshaalah nitawaupdate kuhusu taarifa za KHITMA...
Dear ONE Member,(Kiuyajibu)
Throughout Africa, there is notable progress being made toward reaching the Millennium Development Goals, from halving extreme poverty to stopping the spread of...