Watanzania waishio Gauteng, Afrika Kusini kuanzisha jumuia

Maverick

JF-Expert Member
May 29, 2008
308
11
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unapenda kuwatangazia watanzania wanaoishi katika jimbo la Gauteng kuwa kutakuwa na mkutano wa watanzania wanaoishi katika jimbo hilo utakaofanyika tarehe 24 oktoba, 2009 saa nane na nusu mchana hadi saa kumi na moja jioni katika ukumbi wa Pretoria Country Club, namba 241 mtaa wa Sydney, Waterkloof, Pretoria.

Mkutano huo una lengo la kuanzisha jumuiya ya watanzania katika jimbo hilo.

Tafadhali tunaomba kuvaa nadhifu na kuzingatia muda.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na wafuatao:

1. Jumanne Fhika 0762 909449

2. Faustine Ndugulile 0799 965120

3. Laurean Rugambwa 0835 566966

4. Lumbi na Ethel 012 344371/012 3425921


IMETOLEWA TAREHE: 3.10.2009

UBALOZI WA TANZANIA- PRETORIA
 
Jee huu umoja bado upo?

Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unapenda kuwatangazia watanzania wanaoishi katika jimbo la Gauteng kuwa kutakuwa na mkutano wa watanzania wanaoishi katika jimbo hilo utakaofanyika tarehe 24 oktoba, 2009 saa nane na nusu mchana hadi saa kumi na moja jioni katika ukumbi wa Pretoria Country Club, namba 241 mtaa wa Sydney, Waterkloof, Pretoria.

Mkutano huo una lengo la kuanzisha jumuiya ya watanzania katika jimbo hilo.

Tafadhali tunaomba kuvaa nadhifu na kuzingatia muda.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na wafuatao:

1. Jumanne Fhika 0762 909449

2. Faustine Ndugulile 0799 965120

3. Laurean Rugambwa 0835 566966

4. Lumbi na Ethel 012 344371/012 3425921


IMETOLEWA TAREHE: 3.10.2009

UBALOZI WA TANZANIA- PRETORIA
 
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unapenda kuwatangazia watanzania wanaoishi katika jimbo la Gauteng kuwa kutakuwa na mkutano wa watanzania wanaoishi katika jimbo hilo utakaofanyika tarehe 24 oktoba, 2009 saa nane na nusu mchana hadi saa kumi na moja jioni katika ukumbi wa Pretoria Country Club, namba 241 mtaa wa Sydney, Waterkloof, Pretoria.

Mkutano huo una lengo la kuanzisha jumuiya ya watanzania katika jimbo hilo.

Tafadhali tunaomba kuvaa nadhifu na kuzingatia muda.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na wafuatao:

1. Jumanne Fhika 0762 909449

2. Faustine Ndugulile 0799 965120

3. Laurean Rugambwa 0835 566966

4. Lumbi na Ethel 012 344371/012 3425921


IMETOLEWA TAREHE: 3.10.2009

UBALOZI WA TANZANIA- PRETORIA

Hii document bado ni valid kweli?
 
Back
Top Bottom