Nauza tv star x inchi 43 kwa bei tajwa.Tv hii ni smart kama unavyoiona na ipo Tegeta Dsm.Ni tv yangu halali,nilinunua dukani, ina box na vitu vyake vyote.risit ninayo. Maongezi kidogo yapo.
Kwa...
Habari wana jamii forum.
Naomba kupata msaada wa Mawasiliano ya mtu au kiwanda / agent yeyote anayeusika na utengenezaji wa materials za Box kama za kutengeneza cattons za sabuni ya mche.
Mfano...
NAUZA SAFETY BOOT ZA MTUMBA
sh 22,000
Size 41
Mahali:yombo-DSM
Zipo vizuri,
Ukihitaji picha au nirekodi video uone njoo WhatsApp
Ukihitaji naweza kukuletea mahali ulipo, ndani ya Dar
Simu no...
SIFA ZA MASHIMO HAYA;
•Hayajai
•Hutumia eneo dogo
•Hayana harufu
•Uwezo mkubwa wa kukabiliana na ardhi yenye maji
•Hutumia vifaa vya kisasa katika ujenzi wake
•Gharama za ujenzi ni nafuu
•Vifaa...
Ndugu wanajamii forum wenzangu..Mimi nafanya kazi ya UWAKALA WA FORODHA BODA YA TUNDUMA…kama unamzigo wako uwe una toka TANZANIA kwenda nchi yoyote kupitia boda ya Tunduma au uwe unatoka nchi...
Habari zenu
Kuna taa za nyuma za Toyota Harrier (chogo/tako la nyani) nimezipenda sana. Kwa Tz hapa naona bei juu sana kuna sehemu mil 1.2 kwingine hadi 1.6mil
Mwenye uzoefu wa kuagiza naomba...
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni.
VIGEZO.
1.Gari iwe na dereva wake.
2.Dereva atalipwa na mwenye gari.
3.Tani 3.
4.Gari itakodiwa kwa...
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.
VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 3.
4. Gari itakodiwa...
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.
VIGEZO.
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 3.
4. Gari itakodiwa...
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.
VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 1.
4. Gari...
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.
VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 3.
4. Gari itakodiwa...
Wapo Watoto 18 wa Nguruwe wa Kisasa wa Umri Kati ya Siku 30 - 60
Yaani umri wa Mwezi Mmoja - Miezi Miwili Kasoro.
Wapo Majike 9 na Madume 9
Wote Wanauzwa
Bei ya Mtoto mmoja wa Nguruwe wa...
Pest Consult ni Kampuni iliyosajiriwa nchini Tanzania na kuruhusiwa kutoa huduma ya Fumigation/Kudhibiti Visumbufu (Pests). Kampuni yetu inauzoefu wa kutosha na huduma zetu zinatolewa Kwa misingi...
Price yangu ni affordable na ya makubaliano.
Nina Business Centric Approach, yenye lengo ya kuipush idea yako ifanikiwe kwenye market ikiwemo na ushauri wa bure jinsi gani inaweza fanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.