Wakuu nauza mtambo.
Nissan patrol(Safari)
1998
engine 4500cc
7 seater
Automatic gearbox
Rangi ni metallic grey
Ni bomba kabisa na ipo DAR
Price negotiable niPM
Haya wakuu leteni offer za...
Petrol Station ipo Kwa Mfipa inauzwa. Kituo kipo kabda ya stand Kwamfipa upande wa kushoto kuelekea Morogoro, kinafanya kazi kuna Pump 4, tanki 4. Tanki 2 za ujazo wa lita 25,000@moja. Tanki...
Nimepata habari njema toka kwa member mwenzetu mtukuka JF senior Expert Yo Yo kuwa atashindwa kujumuika nasi kwa takribani siku zaidi ya kumi kwa sababu atakuwa kwenye mapumziko mafupi.Amesema...
Ipo changombe, karibu na maduka mawili na kona ya barabara ya kuelekea ukumbi wa sigara
inatazama barabara ya changombe.
Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka la kawaida, duka la dawa, saloon...
Habari yako msomaji,
Naomba msaada, natafuta orodha ya radio mpya zitakazo anza kurusha matangazo yake/ambazo zimeanza kurusha matangazo yake 2011. Natafuta majina na contact zake. Naamin hapa Jf...
Poleni kwa kazi wandugu, Napenda kutambulisha kwenu firm yetu (Interim Hospitality Consultancy) inayotoa ushauri katika Hotel, Lodges, Camps and Tours. We do a lot from project conceptualization...
Habari wanajamii
kwa yeyote ambaye anahitaji kiwanja maeneo ya Kigamboni Dege, tuwasiliane kupitia namba 0767 616 800 au 0712 800 616
Upande wa magharibi bahari ipo umbali wa KM 1 na nusu
Upande...
Eka 3 zinauzwa Kibaha kongowe njia ya kuelekea Soga,eneo limeanzia barabarani umeme upo maji.eneo lipo km 2 toka old Morogoro Road Bei Mil 15. Hapajapimwa pazuri sana.
Call 0754383174.
Eneo linauzwa Kibaha kati ya Tanita na kwa Mathias, eneolipoupande wa kushoto kuelea Morogoro. Eneolipo mita 100 toka Morogoro Road. Panafaa kwa Yadi,kiwanda. Kujenga shule. umeme Maji vipo Piga...
Haijakamilika. Ina msingi wa ghorofa tatu. ground floor vyumba sita self contained. Ghorofa ya kwanza imekusudiwa kujengwa vumba saba na ghorofa ya pili imekusudiwa kujengwa vyumba saba. Jengo...
Nauza toyota spasio ya mwaka 2000 imetembea km 95000. Ipo katika hali nzuri kama mpya! mtanisamehe maana sina sina picha yake. ipo morogoro. bei 7m!!:confused2:
nawakilisha.
Kwa mwenye kuhitaji shamba lenye ukubwa wa acre nne linauzwa maeneo ya mbutu kigamboni ( kilomita 25 kutoka ferry) awasiliane na jamaa mwenye namba +255718381814.Shamba lipo nje ya mradi wa mji mpya.
Habari yako msomaji.
Home Radio Ministry inakuletea huduma zifuatazo:-
1. Tunasaidia radio mpya zinazoanzishwa kwa kuandaa vipindi vya nguvu, programming ya wafanyakazi kupewa mafunzo.
2...
Inahitajika nyumba ya kupanga ambayo itakuwa maeneo ya Mwenge, Survey, Makongo na viunga vyake.
Yaani iwe maeneo ya Mwenge au karibu na Mwenge.
Iwe na chumba Master (Choo na bafu ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.