Habari njema kwa watanzania,viwanja vinauzwa maeneo ya kipawa mpya mbele kidogo ya kigogo fresh waliko hamishiwa watu waliokuwa wnaishi kipawa na kigilagila,vimepimwa. Bei hadi milioni 6,kwa wale wanaohitaji tuwasiliane kupitia namba hii.
Ebu kuwa muwazi ndg, umeulizwa vina ukubwa gani ukasema ni vingi... ebu taja hivyo vingi na size yake, taja size ya kiwanja na bei yake, halafu tuambie wewe ni kama nani kwenye hivyo viwanja?
Dalali?
Mmiliki?
Mjomba wa mwenye kiwanja?
au nani?
Ni vema kuwa waangalifu, kuna malumbano makubwa sana eneo lile, kt ya wahamiaji toka Kipawa na wenyeji waliokutwa pale. Ni sehemu nzuri na nimeshawahi kufika maeneo yale, matapeli wanaweza kuanzia huko huko wizarani na siku ya siku ukauziwa kiwanja hewa, kwa nini viwe vingi kiasi hicho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.